KILA WAKATI ANGALIA STAR TV NA KUSIKILIZA RADIO FREE AFRICA Matangazo

UKIWA NA TANGAZO TAFADHALI WA SILIANA NA SISI KWA NAMBA 0755731234 AU 0755061588
Tuna pokea Matangazo ya StarTV na Radio Free Africa. Wasiliana nasi kwa Email: adammzuza@yahoo.com au mzuzanindi@gmail.com | Simu: 0755 731 234 au 0655 731 234   kwa Mawasiliano zaidi unaweza kutumia NO 0755061588 Judith Lugoye ,shuguli zote za blog hii anaweza kukusaidia MATANGAZO , AU HABARI

Tuesday, December 13, 2011

WAZIRI WA HABARI VIJANA UTAMADUNI NA MICHEZO ATEMBELEA HOSIPITARI SONGEA

Waziri wa Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Dokta Emmanuel John Nchimbi akitoa Taarifa kwa waandishi wa Habari jinsi serekari ilivyo jipanga kuimarisha Hospitali ya Mkoa Songea kuwa Hospitari ya Rufaa


Wajawazito wakiwa nje ya wodi baada ya wagonjwa kufurika katika wodi ya wazazi ambayo ina uwezo wa kuchukua wajawazito 50 tu hivi sasa wapo zaidi ya 200


Mheshimiwa Waziriri Emanuel John Nchimbi akiwa na mganga mkuu Dr Daniel Malechela wakiweka mikakati endelevu ili kukabiliana na wagonjwa wanao toka nje ya wilaya hasa Namtumbo ili wapate huduma bora baada ya kufika hospitali ya mkoa kwa ajili ya kujifungua[picha ya chini].

No comments:

Post a Comment