KILA WAKATI ANGALIA STAR TV NA KUSIKILIZA RADIO FREE AFRICA Matangazo

UKIWA NA TANGAZO TAFADHALI WA SILIANA NA SISI KWA NAMBA 0755731234 AU 0755061588
Tuna pokea Matangazo ya StarTV na Radio Free Africa. Wasiliana nasi kwa Email: adammzuza@yahoo.com au mzuzanindi@gmail.com | Simu: 0755 731 234 au 0655 731 234   kwa Mawasiliano zaidi unaweza kutumia NO 0755061588 Judith Lugoye ,shuguli zote za blog hii anaweza kukusaidia MATANGAZO , AU HABARI

Sunday, December 18, 2011

MKUU WA MKOA WA RUVUMA SAID THABITH MWAMBUNGU AWA TAKA WANACHI KUTUMIA VIZURI BARABARA ILI KUEPUKANA NA VIFO VINAVYO TOKANA NA VYOMBO VYA MOTO

Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma Said Thabit Mwambungu akitoa vyeti kwa wahimu 105 walio hitimu mafunzo ya Udereva Katika chuo cha Veta Mkoani Ruvuma kulia ni Kamanda wa Police Mkoa wa Ruvuma Maiko Kamhanda na Kushoto ni Mkuu wa Chuo cha Veta Gidion Lairumbe

Mkuu wa Chuo cha Veta Gidion Lairumbe akisikiliza kwa makini wakati akibadilishana mawazo jinsi ya kuongeza nguvu kukifanya chuo hicho kiwe chanzo cha kupunguza ajali barabarani kwa kutoa Elimu Bora na siyo Bora Elimu

Wahitimu 105 walio hitimu mafunzo ya Udereva katika chuo cha Veta Mkoani Ruvuma waliaswa na Mkuu wa mkoa wa Ruvuma kuwa makini wawapo barabarani Uhai wa watu unawategemea wao, pia nao wawe na Huruma na Roho zao wanapo Endesha Gariili kunusuru vifo kwa watu

No comments:

Post a Comment