KILA WAKATI ANGALIA STAR TV NA KUSIKILIZA RADIO FREE AFRICA Matangazo

UKIWA NA TANGAZO TAFADHALI WA SILIANA NA SISI KWA NAMBA 0755731234 AU 0755061588
Tuna pokea Matangazo ya StarTV na Radio Free Africa. Wasiliana nasi kwa Email: adammzuza@yahoo.com au mzuzanindi@gmail.com | Simu: 0755 731 234 au 0655 731 234   kwa Mawasiliano zaidi unaweza kutumia NO 0755061588 Judith Lugoye ,shuguli zote za blog hii anaweza kukusaidia MATANGAZO , AU HABARI

Wednesday, December 28, 2011

MTOTO ATUPWA PORINI NA MTOTO MWINGINE ATELEKEZWA NA MAMA YAKE SONGEA

Naomba niulize kwa watanzania wenzangu Tabia ya Kutupwa watoto ovyo ina sababishwa na nani Jamii inayo tuzunguka au Tabia mbaya ya kizazi kipya tulicho nacho ? Ndugu zangu unaweza kusema hizi ni hadithi lakini ni ukweli usio pingika mtoto unaye mwona hapo juu ni mtoto Bakari Haule ambaye alitupwa na mama yake porini na kuanza kutafunwa na wadudu kama unavyo ona kichwa kilivyo liwa

Mama mzazi wa mtoto Baraka Haule mwenye umri wa miezi miwili akiwa mpakata mtoto Baraka Haule mara baada ya kukamatwa na polisi mkoani Ruvuma

Mama Salini Salumu akiwa amemshika mtoto a,mbaye alimtelekeza mlangoni kwa nyumba ya baba watoto wake baada ya kukosa huduma ,


Mtoto aliye telekezwa na mama yake Naimu Baraka akiwa kituo cha Police baba ya Baba yake kujisalimisha Police kutoa maelezo ya mtoto

No comments:

Post a Comment