KILA WAKATI ANGALIA STAR TV NA KUSIKILIZA RADIO FREE AFRICA Matangazo

UKIWA NA TANGAZO TAFADHALI WA SILIANA NA SISI KWA NAMBA 0755731234 AU 0755061588
Tuna pokea Matangazo ya StarTV na Radio Free Africa. Wasiliana nasi kwa Email: adammzuza@yahoo.com au mzuzanindi@gmail.com | Simu: 0755 731 234 au 0655 731 234   kwa Mawasiliano zaidi unaweza kutumia NO 0755061588 Judith Lugoye ,shuguli zote za blog hii anaweza kukusaidia MATANGAZO , AU HABARI

Saturday, December 31, 2011

VIONGOZI WA MKOA WA RUVUMA WALIFANYA NINI MKOANI RUVUMA ?

Kiongozi wa kitaifa Rais wa Jamuhuri ya Mungano wa Tanzania Jakaya Mrisho Kikwete ameonyesha upendo kwa mkoa wa Ruvuma Kwakuweza kutoa Genereta ili wananchi wapate Umeme Rais hakuweza kuishia hapo aliongeza kiwango cha Pembejeo mkoa wa Ruvuma,Hapo juu ni pale alipo tembelea Mkoa wa Ruvuma

Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma Saidi Thabiti Mwambungu Ameupokea Mkoa wa Ruvuma kwa kuwa mwazi na Mchapakazi kitu tulicho jifunza kwake kwa mwaka 2011 hataki Majungu, wala Kumsengenya Mtu sasa Swali lina kuja jee mwaka 2012 gia yake nini Wanaruvuma tuna takiwa kumunga mkono

Waziri mkuu wa zamani mh. Edward Luwasa alikuwa imara katika uongozi lakini kama isemavyo bibilia Yesu lazima afe ili aikomboe ulimwengu ndivyo alivyo kuwa shujaa huyu watanzania lazima wa shukuru kwa kile alicho fanya


Kamanda wa Police Mkoa wa Ruvuma Maiko Kamhanda katika mwaka 2011 ameweza kupunguza maswala ya uhalifu kwa asilimia 89 %pia ameimarisha ulinzi shirikishi kwa asilimia 50% jee mwaka 2012 ataweza kutokomeza majambazi na kuweza kuzuia uhalifu

Waziri wa Habari Utamaduni Michezo na Vijana Emanueli John Nchimbi toka achaguluwe kuwa mbunge ameweza kuimarisha barabara za mji wa songea pia kuongeza idadi ya secondari , mbunge wa Jimbo la Songea amejitolea kujenga secondari ya Mkuzo kwautoa fedha zake mwenyewe zaidi ya shilingi milioni 100

Mkuu wa Veta Gidioni ambaye toka afike ameweza kupunguza ajali mbalimbali kwa kutoa elimu kwa madereva kwa mwaka 2011 jee jyhudi zake mwaka 2012 zitakuwaje

Mkurugenzi wa The Foundation John Ulanga amekuwa kiongozi imara kwa kuweza kuimarisha Azaki Nchini Tanzania kwa kuweza kuziwezesha kifedha kukabiliana na Umasikini Tulionao Nchini Tanzania kwa kuziwezesha Azaki kutoa elimu ya Utawala Bora,Jinsi ya Kujiondoa na Umasikini jee juhudi zake mwaka 2012 zita kuwaje ?

Kamanda wa kikosi cha FFU Maile ambaye aliweza kuhimili maswala ya Uchaguzi mkuu

Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma aliye pita Saidi Saidi Kalembokatika uongozi wake aliweza kuinua kiwango cha Elimu hadi mkoa wa Ruvuma Kuchukua Nafasi ya Nne Kitaifa


Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma aliye pita Crisitina Ishengoma katika uongozi wake ameweza kuinua kilimo mkoa wa Ruvuma kwa Asilimia 100 hadi serekari kuelemewa na ununuzi wa mahindi

No comments:

Post a Comment