KILA WAKATI ANGALIA STAR TV NA KUSIKILIZA RADIO FREE AFRICA Matangazo

UKIWA NA TANGAZO TAFADHALI WA SILIANA NA SISI KWA NAMBA 0755731234 AU 0755061588
Tuna pokea Matangazo ya StarTV na Radio Free Africa. Wasiliana nasi kwa Email: adammzuza@yahoo.com au mzuzanindi@gmail.com | Simu: 0755 731 234 au 0655 731 234   kwa Mawasiliano zaidi unaweza kutumia NO 0755061588 Judith Lugoye ,shuguli zote za blog hii anaweza kukusaidia MATANGAZO , AU HABARI

Thursday, December 29, 2011

SONNGO WAENDESHA MCHAKATO WA KATIBA SONGEA

Washiriki wa Mdahalo wa mchakato wa Katiba Mpya wakisikiliza maelezo ya jinsi ya kushiriki kupata Katiba Mpya

Waandishi wa Habari wakiwa katika Mdahalo wa Mchakato wa katiba ulio fadhiliwa na The Foundation na kuendeshwa na Shilika lisilo la Kiserekari SONNGO Kutoka kulia ni Juma Nyumayo wa Uhuru FM ,anaye fuatia na Gidioni Mwakanosya wa Gazeti la Nipashe anaye Fuatia ni Catherin Nyoni wa TBC

Washiriki wa Mdahalo wa mchakato wa katiba manspaa ya Songea ulioendeshwa na SONNGO Katika ukumbi wa Romani Catholic Bombambili wakiwa makini kusikiliza mada

Washiriki wa mdahalo wa mchakato wa katiba wakibadilishana mawazo kutoka kulia ni Jongo Jongo na kushoto kwake ni Adam NindiHakimu mkaazi wa Makama ya Songea Elithabet Sinzika akitoa mada katika mdahalo wa mchakato wa katiba akielezea haki za waandishi wa Habari katika mahakama


matibu wa SONNGO Mathew Ngalimanayo akirabibu maswala ya Mchakato wa Katiba Mpya katika Ukumbi wa Roman Catholic Bombambili

Mwana sheria akitoa maada kuhusu ubora wa Katiba ya Zamani na kuwa Taka wananchi wajisomee kwa makini katiba ili wanapo changia wajue kitu wanacho changia

No comments:

Post a Comment