KILA WAKATI ANGALIA STAR TV NA KUSIKILIZA RADIO FREE AFRICA Matangazo

UKIWA NA TANGAZO TAFADHALI WA SILIANA NA SISI KWA NAMBA 0755731234 AU 0755061588
Tuna pokea Matangazo ya StarTV na Radio Free Africa. Wasiliana nasi kwa Email: adammzuza@yahoo.com au mzuzanindi@gmail.com | Simu: 0755 731 234 au 0655 731 234   kwa Mawasiliano zaidi unaweza kutumia NO 0755061588 Judith Lugoye ,shuguli zote za blog hii anaweza kukusaidia MATANGAZO , AU HABARI

Saturday, December 10, 2011

MAMA AUWAWA BABA AJINYONGA WATOTO 4 WAACHWA YATIMA WAKIWA CHINI YA MIAKA 7

Wakati mwingine una weza kusema ni hadithi kwa mke na mume kufa kwa wakati mmoja Eliki Kayombo alimua mkewe kwa kumtwanga na mpini wa shoka na Paulina kufariki papo hapo katika kijiji cha Sanangula kata ya tanga, Mtoto Alana kayombo akiwa na furaha bila kujua kilicho tokea

Hawa hapa juu wameingia katika maisha ya mazingira hatarishi bila kupenda ni watoto wa Eriki Kayomb ambaye baada ya kumua mkewe naye alijinyonga nyuma ya nyumba yake kwa kugombea shuka. kutoka kushoto ni Rubeti Kayombo anaye fuatia letisia kayombo na wa mwisho ni Hepy kayombo

Aliye vaa suti nyeusi ni Afisa Mtendaji wa kijiji cha sanangula ambaye mpaka sasa mzigo mkubwa ume baki kwake kuwa tunza hao watoto katika kuadhimisha siku ya ukatili wa kijinsia mheshimiwa Jenista Mhagama aliwa changia watoto hao shilingi 50,000 na mwenyekiti wa uwt mkoa Kurusumu Mhagama naye alichangia shilingi 3000/=

Jamani watoto hawa wana hitaji msaada wa Jamii hawana ndugu wala Rafiki tuwachangie ili wasome waishi vizuri ,Mtoto mmoja Mheshimiwa Jenista Mhagama amejitolea kumsomesha jee sisi tuna fanyaje ?

No comments:

Post a Comment