KILA WAKATI ANGALIA STAR TV NA KUSIKILIZA RADIO FREE AFRICA Matangazo

UKIWA NA TANGAZO TAFADHALI WA SILIANA NA SISI KWA NAMBA 0755731234 AU 0755061588
Tuna pokea Matangazo ya StarTV na Radio Free Africa. Wasiliana nasi kwa Email: adammzuza@yahoo.com au mzuzanindi@gmail.com | Simu: 0755 731 234 au 0655 731 234   kwa Mawasiliano zaidi unaweza kutumia NO 0755061588 Judith Lugoye ,shuguli zote za blog hii anaweza kukusaidia MATANGAZO , AU HABARI

Monday, January 16, 2012

BIMA WA PATA GARI JIPYA KUBORESHA HUDUMA VIJIJINI

Moses Senje Meneja wa Bima Mkoa wa Ruvuma akichambua Bima zilizo iva kwa wateja wa wilaya 5 za mkoa wa Ruvuma ,Bima Mkoa wa Ruvuma Umesha Toa zaidi ya shilingi milioni 600 kwa wateja wake

Meja wa Bima Mkoa wa Ruvuma akiwa amekaa karibu na Gari ambalo yeye ameliita kuwa ni mkombozi kwa wafanyakazi wa Vijijini katika kuhakiki bima zilizo iva

Meja Moses Senje akiwa amekaa kwa masikitiko kutokana na wateja ambao huhama bila tarifa , wafanyakazi wa Bima wanapo enda Sehemu hizo hukuta wamesha hama na hiyo huwa hasara kwa shirika

Wateja ambao bima zao zime iva wakipokea hundi zao, Huku mfanyakazi wa Bima akipata mawasiliano juu ya ulipaji wa hundi kwa wateja wake


Mteja baada ya kupokea hundi yake anaihifadhi kwenye begi lake tayari kwa matumizi, kupeleka watoto shule,kununua pembejeo

No comments:

Post a Comment