KILA WAKATI ANGALIA STAR TV NA KUSIKILIZA RADIO FREE AFRICA Matangazo

UKIWA NA TANGAZO TAFADHALI WA SILIANA NA SISI KWA NAMBA 0755731234 AU 0755061588
Tuna pokea Matangazo ya StarTV na Radio Free Africa. Wasiliana nasi kwa Email: adammzuza@yahoo.com au mzuzanindi@gmail.com | Simu: 0755 731 234 au 0655 731 234   kwa Mawasiliano zaidi unaweza kutumia NO 0755061588 Judith Lugoye ,shuguli zote za blog hii anaweza kukusaidia MATANGAZO , AU HABARI

Saturday, January 28, 2012

mwandishi wa gazeti la majira ajifungua

Mwandishi wa Habari wa Gazeti la majira akifurahia uja uzitoalio nao, Napenda kuwa fahamisha kupitia blog hii kuwa mwandishi huyu kajifungua mtoto na jina lake anaitwa Fadhila tumupe hongera.
WAKATI MWINGINE UNA WAJIBIKA KUKUBALIANA NA HALI HEBU ONA MWANDISHI WA HABARI MACHACHARI CERENSECIA KAPINGA AKIWA KATIKA PIKIPIKI YA WAGONJWA NI KWELI HIZO PIKIPIPI ZINAWEZA KUMUDU MILIMA YA MBINGA AMBAKO NI NYUMBANI KWA MWANDISHI HUYU

No comments:

Post a Comment