KILA WAKATI ANGALIA STAR TV NA KUSIKILIZA RADIO FREE AFRICA Matangazo

UKIWA NA TANGAZO TAFADHALI WA SILIANA NA SISI KWA NAMBA 0755731234 AU 0755061588
Tuna pokea Matangazo ya StarTV na Radio Free Africa. Wasiliana nasi kwa Email: adammzuza@yahoo.com au mzuzanindi@gmail.com | Simu: 0755 731 234 au 0655 731 234   kwa Mawasiliano zaidi unaweza kutumia NO 0755061588 Judith Lugoye ,shuguli zote za blog hii anaweza kukusaidia MATANGAZO , AU HABARI

Monday, January 16, 2012

JESHI LA POLICE MKOA WA RUVUMA LA PATA TUNZO KWA UTOAJI WA HUDUMA KATIKA ZAHANATI

Kamanda wa POLICE Mkoa waRuvuma Maiko Kamhanda akitoa tarifa kwa wandishi wa Habari kuhusu ushindi ulio pata Jeshi la POLICE Katika utoaji huduma kwa mama na mtoto kuhusu kuzuia maambukizi ya virusi vya UKIMWI kutoka kwa mama kwenda kwa mtoto.


Hati iliyo tolewa na USAID Shirika la kimarekani ambalo limetoa tunzo kwa jeshi la POLICE Mkoa wa ruvuma baada ya kutoa huduma bora kwa wananchi kuhusu swala la UKIMWI,Baki ya tunzo hiyo USAID Ita jenga Zahanati FFU Kikosi cha kuzuia Ghasia Mkoa wa Ruvuma ambvacho kita kuwa cha kisasa

No comments:

Post a Comment