KILA WAKATI ANGALIA STAR TV NA KUSIKILIZA RADIO FREE AFRICA Matangazo

UKIWA NA TANGAZO TAFADHALI WA SILIANA NA SISI KWA NAMBA 0755731234 AU 0755061588
Tuna pokea Matangazo ya StarTV na Radio Free Africa. Wasiliana nasi kwa Email: adammzuza@yahoo.com au mzuzanindi@gmail.com | Simu: 0755 731 234 au 0655 731 234   kwa Mawasiliano zaidi unaweza kutumia NO 0755061588 Judith Lugoye ,shuguli zote za blog hii anaweza kukusaidia MATANGAZO , AU HABARI

Monday, January 23, 2012

MAAFALI BEROYA SEKONDARI

Meneja wa shule ya Secondari ya Beroya Sebasitian Waryuba akiwaasa walio hitimu wa kidato cha sita kuwa mara wamalizapo masomo waachane na mambo ya anasa wa mkumbuke mungu mara zote

Afisa Elimu secondari Manspaa ya Songea amewataka wahitimu wa kidato cha sita kuzingatia Masomo baadala ya kujiingiza katika anasa pia kuepuka na mambo ya kisiasa mda huo bado Mwalimu Mkuu wa Secondari ya Beroya Matiko amewapongeza wazazi kwa juhudi wanazo zionyesha katika ushirikiano na Uongozi wa Beroya Secondari


Mwenyekiti wa Bodi Michael Mahecha amesema juhudi katika masomo ndiyo mshahara wa mwanafunzi siku za baadaye, kudharau masomo ni moja ya kuyaweka maisha yako hapo badaye katika matatizo

wahitimu wa kidato cha sita katika sekondari ya Beroya wakisikiliza nasaha mbalimbali za uongozi

wahitimu wakitafakali maisha baada ya kumaliza masomo ya kidato cha sita

No comments:

Post a Comment