KILA WAKATI ANGALIA STAR TV NA KUSIKILIZA RADIO FREE AFRICA Matangazo

UKIWA NA TANGAZO TAFADHALI WA SILIANA NA SISI KWA NAMBA 0755731234 AU 0755061588
Tuna pokea Matangazo ya StarTV na Radio Free Africa. Wasiliana nasi kwa Email: adammzuza@yahoo.com au mzuzanindi@gmail.com | Simu: 0755 731 234 au 0655 731 234   kwa Mawasiliano zaidi unaweza kutumia NO 0755061588 Judith Lugoye ,shuguli zote za blog hii anaweza kukusaidia MATANGAZO , AU HABARI

Friday, January 6, 2012

JUHUDI ZA AKINA MAMA NA MWAKA 2012

Mama huyu kazi yake kubwa ni kuuza Matunda alipo ulizwa kwa nini anapendelea biashara hiyo amesema bei ya Ndizi na Mapapai ina tegemea kupanda kwa Dola na kushuka kwa Dola hivyo biashara ya Ndizi na Papai inalipa. ukiniuliza kuhusu Mahindi nitakuambia kupanda kwa bei ya Mahindi mpaka Mkulima afe toka tume anza kulima hatuja sikia Mahindi ya kipanda, lakini Mafuta kilasiku hupanda na Nishati hiyo Mkulima anategemea

No comments:

Post a Comment