KILA WAKATI ANGALIA STAR TV NA KUSIKILIZA RADIO FREE AFRICA Matangazo

UKIWA NA TANGAZO TAFADHALI WA SILIANA NA SISI KWA NAMBA 0755731234 AU 0755061588
Tuna pokea Matangazo ya StarTV na Radio Free Africa. Wasiliana nasi kwa Email: adammzuza@yahoo.com au mzuzanindi@gmail.com | Simu: 0755 731 234 au 0655 731 234   kwa Mawasiliano zaidi unaweza kutumia NO 0755061588 Judith Lugoye ,shuguli zote za blog hii anaweza kukusaidia MATANGAZO , AU HABARI

Monday, January 16, 2012

WANDISHI WA HABARI WAPATA MAFUNZO YA JINSI YA KUANDIKA HABARI ZA MAHAKAMANI

Mwezeshaji wa Kimataifa Juma Tomas anaye tarajia kutoa mafunzo ya jinsi ya kuandika habari za kimahakama kwa waandishi 18 wa mkoa wa Ruvuma

Mwandishi wa Chaneli 10 akiwa katika kuratibu habari kuhusu Wandishi wa Habari kuandika habari za Mahakama ,Aliye simama ni Amoni Mtega akishangaa mada za kuandika habari mahakamani na mnukuru [ kumbe ni Hatari ] Mwisho wa Kunukuru

Mzee wa Zengwe Gidioni Mwakanosya akifikiri Zengwe la Mahakama linavyo weza kumweka Mahali pabaya Mwandishi wa Habari


Katibu wa Waandishi wa Habari Andrew Chatwanga akieleza kuhusu Mshiko ulivyo kuwa Mdogo lakini cha kuzingatia ni Mafunzo ingawa fedha ni ndogo, Pia pamoja na Hilo PRESS Haita sita kutunisha mfuko wake kila mwandishi atakatwa shilingi 12,000/= kwa ajili ya ada PRESS bila Ada haiwezi kwenda alisisitiza Katibu

No comments:

Post a Comment