KILA WAKATI ANGALIA STAR TV NA KUSIKILIZA RADIO FREE AFRICA Matangazo

UKIWA NA TANGAZO TAFADHALI WA SILIANA NA SISI KWA NAMBA 0755731234 AU 0755061588
Tuna pokea Matangazo ya StarTV na Radio Free Africa. Wasiliana nasi kwa Email: adammzuza@yahoo.com au mzuzanindi@gmail.com | Simu: 0755 731 234 au 0655 731 234   kwa Mawasiliano zaidi unaweza kutumia NO 0755061588 Judith Lugoye ,shuguli zote za blog hii anaweza kukusaidia MATANGAZO , AU HABARI

Sunday, January 1, 2012

MWAKA MPYA UMEINGIA JEE SEREKALI MBALIMBALI ZINA ZINGATIA HAKI ZA BINADAMU ?


Jee msomaji wa Blog hii una hisi nini katika picha hii ,wewe jionje ni mmoja katika hao hali utakayo kuwa nayo itakuwaje,huu niulimwengu wa dunia ya tatu au ni jehanamu, picha hii ina tupeleka mbali kama wewe ni mmoja wapo naomba tubadilike na kama wewe siyo mmojawapo tufanye nini ?

No comments:

Post a Comment