KILA WAKATI ANGALIA STAR TV NA KUSIKILIZA RADIO FREE AFRICA Matangazo

UKIWA NA TANGAZO TAFADHALI WA SILIANA NA SISI KWA NAMBA 0755731234 AU 0755061588
Tuna pokea Matangazo ya StarTV na Radio Free Africa. Wasiliana nasi kwa Email: adammzuza@yahoo.com au mzuzanindi@gmail.com | Simu: 0755 731 234 au 0655 731 234   kwa Mawasiliano zaidi unaweza kutumia NO 0755061588 Judith Lugoye ,shuguli zote za blog hii anaweza kukusaidia MATANGAZO , AU HABARI

Thursday, January 5, 2012

MWAKA MPY NA JWTZ SONGEA

Mkuu wa Wilaya ya Songea Tomasi Sabaya katika siku ya kukaribisha mwaka mpya amelitaka jeshi la wananchi kuwekeza katika ujenzi ili iwe ni Pesheni ya kudumu katika maisha sitarehe ni gharama pia starehe zina leta umasikini katika kaya

Mkuu wa wilaya Tomasi Sabaya na Meja Passian Chausi wakitoa ishara ya kuukaribisha mwaka Mpya wa 2012 katika viwanja vya luhuwiko songea

Mwandishi wa Habari Adamu Nindi Katika kuukaribisha Mwaka Mpya akisherekea kwa kubanika nyama ya mbuzi

katika kusherekea Mwaka Mpya akina mama wakisakata Pembe la Ngombe katika bwalo la Jeshi la wanchi Luhuwiko


Ishara ya kuukaribisha mwaka mpya ni kufyatua fataki ili kuukaribisha mwaka mpya hapo mkuu wa wilaya akiangalia jinsi mwaka unavyo ingia

No comments:

Post a Comment