KILA WAKATI ANGALIA STAR TV NA KUSIKILIZA RADIO FREE AFRICA Matangazo

UKIWA NA TANGAZO TAFADHALI WA SILIANA NA SISI KWA NAMBA 0755731234 AU 0755061588
Tuna pokea Matangazo ya StarTV na Radio Free Africa. Wasiliana nasi kwa Email: adammzuza@yahoo.com au mzuzanindi@gmail.com | Simu: 0755 731 234 au 0655 731 234   kwa Mawasiliano zaidi unaweza kutumia NO 0755061588 Judith Lugoye ,shuguli zote za blog hii anaweza kukusaidia MATANGAZO , AU HABARI

Sunday, January 15, 2012

NINDAI POVERTY ALLEVIATION ASSOCIATION NA KUZUIA RUSHWA MKOA WA RUVUMA

Naibu mkuu wa TAKUKURU Mkoa wa Ruvuma Mussa Msalaba akitoa Mada jinsi Rushwa inavyo weza kuongeza umasikini katika jamii kamaJamii haitakuwa Macho, Mwananchi anaweza kutoa tarifa za rushwa na hataweza kwenda Mahakamani kutoa ushahidi bora tarifa yake iwe ya ukweli.

Washiriki wa semina ya NIPAA kutoka wilaya 5 za Mkoa wa Ruvuma wakiwa wamepiga picha ya pamoja na Mgeni Rasimi Naibu Mkuu wa TAKUKURU Mkoa wa Ruvuma Mussa Msalaba ikiwa ni moja ya ahadi ya kutokomeza Rushwa Mkoa wa Ruvuma


Mkurugenzi wa NIPAA akimkaribisha Mgeni rasimi kufungua Washa kujadili jinsi ya kupambana na RUSHWA Mkoa wa Ruvuma

No comments:

Post a Comment