KILA WAKATI ANGALIA STAR TV NA KUSIKILIZA RADIO FREE AFRICA Matangazo

UKIWA NA TANGAZO TAFADHALI WA SILIANA NA SISI KWA NAMBA 0755731234 AU 0755061588
Tuna pokea Matangazo ya StarTV na Radio Free Africa. Wasiliana nasi kwa Email: adammzuza@yahoo.com au mzuzanindi@gmail.com | Simu: 0755 731 234 au 0655 731 234   kwa Mawasiliano zaidi unaweza kutumia NO 0755061588 Judith Lugoye ,shuguli zote za blog hii anaweza kukusaidia MATANGAZO , AU HABARI

Monday, January 16, 2012

MWANA HARAKATI WA MAMBO YA UCHUMI BARANABASI MPOMBO ATUTOKA MKOANI RUVUMA

Mdogo wa Marehemu Baranabasi Mpombo akiongoza uwekaji wa Taji la Maua katika kaburi la Marehemu Baranabasi Mpombo aliye zaliwa Mwaka 1950, na kupata elimu ya msingi wilaya yambinga liuli,hatimaye kuhitimu secondary hatimaye kupata majunzo ya kijeshi,na kuajiriwa na jeshi,amepata mafunzo ya kuandika miradi nchini India, amefariki akiwa katika shirika la SONNGO ,Amefariki kwa ugonjwa wa kisukari

Watoto wa Marehemu Baranabasi Mpombo wakiweka Taji la Mauwa katika kaburi la Baba yao


Umati wawatu walio furika katika katika mazishi ya mwanaharakati Baranabasi Mpombo

No comments:

Post a Comment