KILA WAKATI ANGALIA STAR TV NA KUSIKILIZA RADIO FREE AFRICA Matangazo

UKIWA NA TANGAZO TAFADHALI WA SILIANA NA SISI KWA NAMBA 0755731234 AU 0755061588
Tuna pokea Matangazo ya StarTV na Radio Free Africa. Wasiliana nasi kwa Email: adammzuza@yahoo.com au mzuzanindi@gmail.com | Simu: 0755 731 234 au 0655 731 234   kwa Mawasiliano zaidi unaweza kutumia NO 0755061588 Judith Lugoye ,shuguli zote za blog hii anaweza kukusaidia MATANGAZO , AU HABARI

Wednesday, March 27, 2013

MKUTANO MKUU WA SADC GENDER PROTOCOL



 Naibu waziri wa Maendeleo  ya Jinsia na Watoto Ummy Mwalimu ameyasema hayo wakati akifungua semina ya siku moja kuhusu Mrejesho wa Genda Protocol  ambayo umehusihsha wandishi wa na wadau mbali mbali kutoka ndani ya nchi na nje ya nchi
 Naibu waziri wa Maendeleo ya Jinsia na Watoto Ummy Mwalimu amewataka wanawake kujitokeza katika ugombea madarkaka mbalimbali ili wakifanikiwa waweze kutetea haki ya mwanamke na Watoto.
 Washiriki katika semina ya kutathiminimambo yaliyo fanyika kupitia Gender Protoco ambayo ina fanyika katika ukumbi wa Blue Pearl Hotel jijini Dar -es-salaam
washiriki katika semina ya Gender Protoco wakiwa wakisikiliza kwa makini Hotuba ya Naibu waziri wa Mendelo ya jinsia na watoto Ummy Mwalimu akiwa ukumbi wa blue Pearl 
 washiriki katika mkutano wa Sadc wakiwa jijini Dar- es -salaam wapili kutoka kushoto ni mwakilishi waakinamama kutoka mkoa wa Ruvuma mama Lwambano
 Mwenyekiti wa Gemsa Gladines Muuno akiwa na Naibu waziri wa Maendeleo Jinsia na watoto Mh.Ummy Mwalimu
 Mwalishi ambaye ni Mwandishi akibadilishana mawazo na Mjumbe kutoka Ruvuma mama Lwambano
 Picha ya Pamoja iliyo pigwa pamoja na Naibu waziri wa Maendeleo jinsia na Watoto akiwa na wajumbe wa SADC katika ukumbi wa Blue Pearl
 Naibu waziri wa Maendeleo Jinsia na Watoto akiwa katika Picha ya Pamoja na Afisa Uhusiano wa TGNP l
Viongozi wa andamizi wa Sadc wakishiriki semina ya kuhusu utathimini wa Gender Protoco mafanikio na Mapungufu yaliyo jitokeza kwa kipindi hiki kifupi

Wajumbe mbalimbali wakijiandikisha kushiriki semina ya Gender Protoco iliyo husisha wajumbe kutoka SADC
Wajumbe wakijiandikisha katika ukumbi wa Blue Pearl jijini DSM
Wandishi wa Habari wakiwa katika harakati za kutuma habari za kuhusu unyanyasaji wa kijinsia baada ya Hotuba ya Naibu waziri wa Maendeleo jinsia na watoto
wajumbe kutoka Tanzania kisiwani wakiwa ndani ya ukumbi wakingoja semina
Mwakilishi wa GEMSA Adam Mzuza Nindi kutoka Mkoa wa Ruvuma akiwa na mama Lwambano wakijadili jinsi ya kufikisha ujumbe wa Gender Protoco kwa watu walioko pembezoni hasa waqnanchi wa mkoa wa Ruvuma
Wajumbe kutoka Tanzania visiwani wakiwa na wajumbe kutoka Tanzani Bara wakibadilishana mawazo kuhusu ukatili wa kijinsia ulivyo Tanzania bara na Tanzania Visiwani
Juma Nyumayo na Mama Lwambanowa kifikiria changamoto zinazo patikana Mkoani Ruvuma


No comments:

Post a Comment