KILA WAKATI ANGALIA STAR TV NA KUSIKILIZA RADIO FREE AFRICA Matangazo

UKIWA NA TANGAZO TAFADHALI WA SILIANA NA SISI KWA NAMBA 0755731234 AU 0755061588
Tuna pokea Matangazo ya StarTV na Radio Free Africa. Wasiliana nasi kwa Email: adammzuza@yahoo.com au mzuzanindi@gmail.com | Simu: 0755 731 234 au 0655 731 234   kwa Mawasiliano zaidi unaweza kutumia NO 0755061588 Judith Lugoye ,shuguli zote za blog hii anaweza kukusaidia MATANGAZO , AU HABARI

Friday, March 29, 2013

MAZOEZI HUONGEZA MDA WA KUISHI KWA WAZEE NA VIJANA

 
Moja ya mambo yanayo sababishi vifo vya kwa wazee ni kukosa kushiriki Mazoezi ya viungo  jambo linalo wa sababishia wazee kuwa jalala la magonjwa mbalimbali , katika nchi zinazo endelea zina mashine ya mazoezi ,Vijana wazee hushiriki katika mazoezi .Tanzani kuna sehemu chache zenye mashine hizo ,watu wanao bahatika kupanga hoteli kubwa hupata bahati ya kufanya mazoezi kama anavyo onekana ndugu Adamu Nindi akifanya zoezi Blue Pearl jijini Dar – es –salamu
 Hapo ndugu Adamu Nindi ambaye ali hudhulia Semina ya Gender Protoco Jijini Daer - es - salaam. kila jioni alikuwa akifanya mazoezi kama anavyo onekana katika picha
 Moja ya njia ya kujipima misuri ni mashine hiyo unayo iona Mbele yako  katika Hotel ya Blue Pearl
 Baada ya mtu kukimbia kilometa kaza ,kuna kuwa hakuna haja ya kukimbia mwendo mrefu una weza kukimbia kwa kutumia mashine kama anavyo onekana ndugu Adamu Nindi katika Hotel ya Blue Pearl
Mara baada ya kufanya mazoezi unatakiwa kuweka mwili wako katika hali mzuri hapo ndugu Adamu Nindi akijitayarisha kuogelea katika Swimming pool la Hotel ya Blue Pearl
Swimming Pool inayo onekana hutumika kwa wateja walio panga katika Hotel ya Blue Pearl  ili kuweka miili yao katika hali nzuri

No comments:

Post a Comment