KILA WAKATI ANGALIA STAR TV NA KUSIKILIZA RADIO FREE AFRICA Matangazo

UKIWA NA TANGAZO TAFADHALI WA SILIANA NA SISI KWA NAMBA 0755731234 AU 0755061588
Tuna pokea Matangazo ya StarTV na Radio Free Africa. Wasiliana nasi kwa Email: adammzuza@yahoo.com au mzuzanindi@gmail.com | Simu: 0755 731 234 au 0655 731 234   kwa Mawasiliano zaidi unaweza kutumia NO 0755061588 Judith Lugoye ,shuguli zote za blog hii anaweza kukusaidia MATANGAZO , AU HABARI

Tuesday, March 19, 2013

WANAO TUHUMIWA NA UJANGILI WA KAMATWA SONGEA

 Mratibu Maxmilan Jenes akizumuzia kuhusu ujangili amesema kwa kipindi kifupi shirika lake PAMS FOUNDATION limeshuhudia mizoga ya Tembo zaidi ya 150 wakiwa  wameuwawa na kung`olewa meno 300 yenye thamai zaidi ya milioni 500 jambolinalo sababisha iingizia  hasara kwa serekari.
 Wananchi wa Vijiji vinavyopakana na Mbuga ya Seluu Mkoani Ruvuma wamepongezwa    kwa kuweza kupambana na Ujangiri na kuweza kuwakamata Wawindaji haramu sugu ambao walikuwa wakitafutwa zaidi ya miaka 10 kwa tuhuma za Uwindaji haramu.
 Mratibu wa Shirika la  PAMS FOUNDATION ambalo lina fadhiliwa na Shirika lisilo la kiserikali la  LIZ CLAIBORNE  ART  ORTENBERG  FOUNDATION kutoka Marekani amesema watuhumiwa Yazidu Hassan  Chilombo na mwenzake Said  Milinga hivi karibuni walikuwa katika Mbuga za Seluu walikamatwa na Askari wa wanyamapori    kwa tuhuma za Uwindaji haramu wa Tembo.
 Shirika la PAMS FOUNDATION pamoja na kupambana na Ujangiri likishirikiana na Wananchi, pia linawasaidia wananchi kulinda mazao yao yasiliwe na wanyama waharibifu, , zaidi ya Hekta 1000 za mazao  mbali mbali yame salimika baada Shirika la PAMS FOUNDATION kubuni njia rahisi yakupambana na wanyama wa haribifu kwa kutumia pilipili ,oil chafu pampja na kufuga nyuki ambao ni adui mkubwa wa Tembo 
Mratibu Maxmilan Jenes wa shirika la PAMS FOUNDATION [Shirika linalo jihusisha na kupambana na ujangili liliopo mkoani Ruvuma]  ambalo lina fadhiliwa na  LIZ CLAIBORNE  ART  ORTENBERG  FOUNDATION  amesema watuhumiwa Yazidu Hassan Chilombo na Said Millinga hivi karibuni walikuwa katika Mbuga za Seluu walikamatwa na Askari wa wanyama pori katika doria zao baada ya kukuta wakiwa  wamemuua Tembo ambaye walimng`oa meno yake na kuweza kumkata mkia.

No comments:

Post a Comment