KILA WAKATI ANGALIA STAR TV NA KUSIKILIZA RADIO FREE AFRICA Matangazo

UKIWA NA TANGAZO TAFADHALI WA SILIANA NA SISI KWA NAMBA 0755731234 AU 0755061588
Tuna pokea Matangazo ya StarTV na Radio Free Africa. Wasiliana nasi kwa Email: adammzuza@yahoo.com au mzuzanindi@gmail.com | Simu: 0755 731 234 au 0655 731 234   kwa Mawasiliano zaidi unaweza kutumia NO 0755061588 Judith Lugoye ,shuguli zote za blog hii anaweza kukusaidia MATANGAZO , AU HABARI

Tuesday, March 19, 2013

UTUNDIKWAJI WA MIZINGA WA FANYIKA NAIKES RUVUMA

 Wananchi wanaoishi Vijijini Mkoani Ruvuma wametakiwa kujiongezea zao la biashara kwa kuanza kufuga nyuki badala ya kuwa na Mazoea kutegemea zao moja la Biashara.
 Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma Said Thabit Mwambungu ameyasema hayo katika Maadhimisho ya Kutundika Mizinga.  Maadhimisho yaliyofanyika katika Kijiji cha Naikesi Wilayani Namtumbo Mkoani Ruvuma akiwakilishwa na mkuu wa wilaya ya songea Joseph Joseph Mkirikiti.
 Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma Said Thabit Mwambungu ameyasema hayo katika Maadhimisho ya Kutundika Mizinga.  Maadhimisho yaliyofanyika katika Kijiji cha Naikesi Wilayani Namtumbo Mkoani Ruvuma akiwakilishwa na mkuu wa wilaya ya songea Joseph Joseph Mkirikiti.
 Mkuu wa wilaya ya songea na mkuu wa wilaya Namtumbo wakibadilishana mawazo kuhusu ufugajiwa nyuki
 Wanafunzi wa shule ya secondary Mbunga wa  pokea mradi wa ufugajiwa nyuki
 Kaimu Meneja wa kanda wa huduma za misitu kanda ya kusini Helibeti Haule amesema  wametaka wananchi kutumia njia rafiki za kutunza misitu ikiwemo njia ya  ufugaji wa nyuki,amesema serekari kazi yake ni kutafuta masoko yenye uhakika
 Kanda ya Kusini ikiwa na mikoa ya Mtwara, Lindi na Ruvuma imeweza kupata Mizinga 5000 kutoka Forest Fund services kanda ya kusini , Mkoa wa Ruvuma umeweza kupata Mizinga  2000, Lindi 1000  na   Mtwara Mizinga 2000.      

Mwalimu wa Miradi Viviani Mwakalonga kutoka Sekondari ya Mbunga yaliko fanyika Madhimisho ya  kutundika Mizinga , amesema ufugaji wa Nyuki katika Shule hiyo utaweza kuongeza huduma ya tiba pamoja na kuongeza lishe kwa wanafunzi .

No comments:

Post a Comment