KILA WAKATI ANGALIA STAR TV NA KUSIKILIZA RADIO FREE AFRICA Matangazo

UKIWA NA TANGAZO TAFADHALI WA SILIANA NA SISI KWA NAMBA 0755731234 AU 0755061588
Tuna pokea Matangazo ya StarTV na Radio Free Africa. Wasiliana nasi kwa Email: adammzuza@yahoo.com au mzuzanindi@gmail.com | Simu: 0755 731 234 au 0655 731 234   kwa Mawasiliano zaidi unaweza kutumia NO 0755061588 Judith Lugoye ,shuguli zote za blog hii anaweza kukusaidia MATANGAZO , AU HABARI

Thursday, April 24, 2014

JUKWAA LA KITAFA LA ASASI ZA KIRAIA LA NCHI ZA MAZIWA MAKUU LA UNDWA CHINI YA MZEE JOSEPH BUTIKU

Baada ya kuchaguliwa upya Mzee Joseph Butiku kwa kupita bila mpinzani kuwa mwenyekiti wa Jukwaa la Assasi za Kiraia za Nchi za Maziwa Makuu,Mwenyekiti Joseph Butiku aliwa taka wajumbe kutenganisha kati ya Siasa na utendaji wa Asasi ,amesema Asasi zisizo kuwa za kiserekali hazitakiwi kabisa kushabikia siasa, Sasa tuko katika wakati mgumu tuwaombe wabunge wetu wafanye kile kilicho wapeleka Bungeni wache lugha za Maudhi, Wananchi wana ngoja katiba itayo wafikisha katika malengo ya kupata Maendeleo.Amesema swala la Mungano lisiwe chanzo cha kuto pata Katiba Mzuri.Wabunge wa Rasimu ya Katiba wajue wao wameshika Roho zawatu ambao kiu yao kubwa ni kutaka Amani na Utulivu,
 Wajumbe wapatao 104 wapinyosha mikono juu kumtaka Mzee Joseph Butiku aendele kuwa Mwenyekiti wa Jukwaa la Kitaifa la Asasi za Kiraia la Maziwa Makuu baada Yeye kutaka kuachia ngazi, Nguvu za Hoja zili tolewa na wajumbe kumtaka aendele kwa Mantiki kuwa uwezo alio uonyesha wa kuongoza umewafikisha Watanzania Kupata Mafanikio
 Mzee Joseph Butiku akitabasamu baada ya kuona wajumbe kkauli moja wakimutaka aendelee na uongozi kwa Asasi zilizo katika Jukwaa la Nchi za Maziwa Makuu
 Mzee Joseph Butiku Mwenyekiti wa Jukwaa la Asasi za Kiraia za Nchi za Mzaziwa Makuu akitoa Hoja ya Yeye Kujihudhuru na Kupisha Watu wengine waongoze Asasi akitoa sababu  kuwa yeye sasa yeye ni Mzee angeomba aachie ngazi ,jJambo lililo pingwa kwa kura ya veto na kumwomba aendelee kwani hivi sasa msaada wake una takiwa kwa kuwa amani na utulivu kila siku ina kuwa na Changamoto ana takiwa Mtu anaye ona Mbali Mwisho alikubali kuendelea na wadhifa huo
 Wajumbe Kumi na Mbili walio chaguliwa kuongoza jukwaa la Asasi za Kiraia zilizo katika Nchi za Maziwa Makuu
 Mkurugenzi Mtendaji wa The Foundation for Civil Society John Ulanga akiwausia wajumbe wa Jukwaa la Asasi za Kiraiaza Nchi za Mziwa makuu kuwa makini katika mchakato wa Rasimu ya Katiba kuweza kukumbuka maneno ya Mwalimu Julius Kambarage Nyerere kuwa katiba ya nchi ya Mwaka 1964 tulipo pata mungano ilipo fika mwaka 1971 ili kuwa ina bana kama ilivyo nguo ina baana mtu anapo ongezeka hivyo hivyo siku za baadaye ikibana ita bidi kushona nguo mpya na siyo kiraka, Amewaomba wana Assasi kusimamia maneno ya mwalimu Nyerere
 Azimio la kuunda jukwaa la Assasi za kiraia za Nchi za maziwa makuu
 Hiyo niorodha ya wajumbe 104 walio ridhia kuundwa kwa jukwaa la kitaifa la Assasi za kiraia za Nchi za maziwa makuu Ruvuma ikiwa moja ya Asasi hizo ikiwa ya 95
 Hvnphrey Polepole akiwahusia wa jumbe kuwa makini katika kuchagua wajumbe wasije waka chaguliwa wajumbe ambao wana taka kujaza matumbo kuliko kuangalia changamoto zinazo zikabili Nchi 12 za maziwa makuu
 Mchungji Anna Mghwirawa Kanisa la KKT Arusha akiwakilisha Mada jinsi ya Kuweza kuepukana na Vitendo vya Ukatili wa Kijnsia dhidi ya Mamaq na Mtoto, Katika Uchaguzi wa Azaki kwa Nchi za Maziwa Makuu Anna Mghwira amechaguliwa kuwa Makamu wa Mambo ya Usalama wa Nchi za Maziwa Makuu
Patrick Kanyangana Mratibu wa Assasi za ACCORD wa Mradi wa Nchi za Maziwa makuu akiwasihii wajumbe kuangalia jinsi ya kuweza kuwasaidia vijana wa Tanzania kupata ajira ambapo kundi la Vijana katika Tanzania ni Asilia 65%

No comments:

Post a Comment