KILA WAKATI ANGALIA STAR TV NA KUSIKILIZA RADIO FREE AFRICA Matangazo

UKIWA NA TANGAZO TAFADHALI WA SILIANA NA SISI KWA NAMBA 0755731234 AU 0755061588
Tuna pokea Matangazo ya StarTV na Radio Free Africa. Wasiliana nasi kwa Email: adammzuza@yahoo.com au mzuzanindi@gmail.com | Simu: 0755 731 234 au 0655 731 234   kwa Mawasiliano zaidi unaweza kutumia NO 0755061588 Judith Lugoye ,shuguli zote za blog hii anaweza kukusaidia MATANGAZO , AU HABARI

Saturday, April 19, 2014

WILAYA YA MBINGA INA SIFIKA KIMAENDELEO LAKINI KWA UNDANI KUNA DOSARI YA UCHAFU KATIKA SOKO LA MISHENI

 Kama kinavyo eleza kichwa hapo juu hilo ni soko la Misheni lilioko MbingaMkoani Ruvuma  angalia jinsi Mafunza yanavyo zagaa lakini ni soko linalo hudumia watu wengi kutokana na unafuu wa bei, Maendeleo gani bila kuzoa takataka karibu na Soko
Kama uonavyo soko  Misheni Mbinga linavyo onekana kwa mbali nje ya Soko kukiwa kume zaa gaa uchafu wafanya biashara walio hojiana na Blog hii wamesema Ushuru wana toa kama kawaida lakini huduma ya Kuzoa Taka haipo wanacho ngoja ni Mlipuko wa Magonjwa ya Kuambukiza

No comments:

Post a Comment