KILA WAKATI ANGALIA STAR TV NA KUSIKILIZA RADIO FREE AFRICA Matangazo

UKIWA NA TANGAZO TAFADHALI WA SILIANA NA SISI KWA NAMBA 0755731234 AU 0755061588
Tuna pokea Matangazo ya StarTV na Radio Free Africa. Wasiliana nasi kwa Email: adammzuza@yahoo.com au mzuzanindi@gmail.com | Simu: 0755 731 234 au 0655 731 234   kwa Mawasiliano zaidi unaweza kutumia NO 0755061588 Judith Lugoye ,shuguli zote za blog hii anaweza kukusaidia MATANGAZO , AU HABARI

Tuesday, April 29, 2014

MWENYEKITI WA TASISI YA MWALIMU NYERERE ATOA YA ROHONI


Mwenyekiti wa Tasisi ya Mwalimu Nyerere Joseph Butiku amewaomba viongozi wa Assasi za Kiraia za Nchi za Maziwa Makuu  Kumsaidia Raisi wa Jamuhuri ya Mungano wa Tanzania Jakaya Mrisho Kikwete kuwa simamia watanzania katika Mchakato wa Rasiumu ya Katiba ili kuweza kupata Katiba ambayo ita waletea Maendeleo wananchi wa Tanzania.

Mwenyekiti wa Tasisi ya Mwalimu Nyerer Joseph Butiku ameyasema hayo katika Mkutano Mkuu wa Asasi za Kiraia za Nchi za Maziwa Makuu ,Mkutano Ulio fanyika Jijijni Dar- es- Salaam kwa ajili ya Uchaguzi wa viongozi wawakilishi 12 watakao wakilisha katika Nchi za Maziwa makuu ambapo Joseph Butiku alipita bila kupingwa .

Mwenyekiti wa Tume ya Tasisi ya Mwalimu Nyerere  Joseph Butiku  amesema katika Kuanda Rasimu ya Katiba ya Jamuhuri ya Mungano wa Tanzania Rais Kakaya Mrisho Kikwete ali Ridhia Raisimu ya Katiba ni juu ya Watanzania Kumunga Mkono Rais wao ili kuwawezesha watanzania kuendelea kudumisha amani na utulivu kutokana na Katiba itayo Patikana


Mwenyekiti wa Tasisi ya Mwalimu Nyerere Joseph Butiku amewaomba viongozi wa Assasi za Kiraia za Nchi za Maziwa Makuu  Kumsaidia Raisi wa Jamuhuri ya Mungano wa Tanzania Jakaya Mrisho Kikwete kuwa simamia watanzania katika Mchakato wa Rasiumu ya Katiba ili kuweza kupata Katiba ambayo ita waletea Maendeleo wananchi wa Tanzania.

Mwenyekiti wa Tasisi ya Mwalimu Nyerer Joseph Butiku ameyasema hayo katika Mkutano Mkuu wa Asasi za Kiraia za Nchi za Maziwa Makuu ,Mkutano Ulio fanyika Jijijni Dar- es- Salaam kwa ajili ya Uchaguzi wa viongozi wawakilishi 12 watakao wakilisha katika Nchi za Maziwa makuu ambapo Joseph Butiku alipita bila kupingwa .

Mwenyekiti wa Tume ya Tasisi ya Mwalimu Nyerere  Joseph Butiku  amesema katika Kuanda Rasimu ya Katiba ya Jamuhuri ya Mungano wa Tanzania Rais Kakaya Mrisho Kikwete ali Ridhia Raisimu ya Katiba ni juu ya Watanzania Kumunga Mkono Rais wao ili kuwawezesha watanzania kuendelea kudumisha amani na utulivu kutokana na Katiba itayo Patikana

No comments:

Post a Comment