KILA WAKATI ANGALIA STAR TV NA KUSIKILIZA RADIO FREE AFRICA Matangazo

UKIWA NA TANGAZO TAFADHALI WA SILIANA NA SISI KWA NAMBA 0755731234 AU 0755061588
Tuna pokea Matangazo ya StarTV na Radio Free Africa. Wasiliana nasi kwa Email: adammzuza@yahoo.com au mzuzanindi@gmail.com | Simu: 0755 731 234 au 0655 731 234   kwa Mawasiliano zaidi unaweza kutumia NO 0755061588 Judith Lugoye ,shuguli zote za blog hii anaweza kukusaidia MATANGAZO , AU HABARI

Saturday, November 7, 2015

SWALA LA KUWAKOMBOA WAZEE KAQTIKA KUPATA HAKI ZAO UPO MIKONONI MWA WAANDISHI WA HABARI


Nchi ya Tanzania ni nchi ya 91 kati ya Nchi 96 Duniani kwa Wazee kuwa katika hali hatarishi kwa maisha ya wazee kwa kukosa mahitaji muhimu ikiwemo afya, Elimu Chakula na Malazi.
Mkurugenzi mtendaji wa Shirika la PADI Iskaka Msigwa ameyasema hayo wakati akiongea na Waandishi wa Habari wa Mkoa wa Ruvuma katika kutafuta njia ya kuwakwamua wazee waweze kutokana na hali hiyo.


Waandishi wa Habari wa Mkoa wa Ruvuma wameazimia kuifahamisha Serikali kujua kuwa haki ya Kuishi pamoja na huduma nyingine ni wajibu wa Serikali kuwatekelezea Wazee.


Mkurugenzi wa shirika la PADI linalohudumia wazee Nchini Tanzania Iskaka Msigwa amesema Tanzania ina wazee wapatao milioni 2.5, wanawake wakiwa milioni 1.3 na wanaume milioni 1.2. Idadi hiyo ya wazee ndiyo inayohudumia Watoto wanaoishi katika mazingira hatarishi na kupelekea wazee hao kuambukizwa magonjwa ya kuambukizwa ikiwemo Ugonjwa wa UKIMWI.

 Waqandishi wa Habari wakijadili jinsi ya kunusuru Maisha ya Wazee kuhusiana na Changamoto zinazo wakabili

Aidha Wazee wanatakiwa wapewe kipaombele kama ilivyo kwa Wanawake kuwa na Wawakilishi katika viti Maalumu vya Ubunge na Udiwani, vivyo hivyoi na Wazee wanatakiwa wawe na Viti Maalumu vinavyowakilisha wazee.

 Moja ya Wazee ambao wana tegemea kinga kutoka kwa jamii jinsi yakupata kinga ya tuhuma mbalimbali kutoka kwa watu wenye imani potofu.Wazee wanalia na Pesheni ya kuweza kupata fedha ingawa kidogo tu

Katika Kikao hicho imebainika kuwa huduma za Wazee zinashindwa kutekelezawa kutokana na kutokuwa na wawakilishi katika Vyombo vya Maamuzi kama

No comments:

Post a Comment