KILA WAKATI ANGALIA STAR TV NA KUSIKILIZA RADIO FREE AFRICA Matangazo

UKIWA NA TANGAZO TAFADHALI WA SILIANA NA SISI KWA NAMBA 0755731234 AU 0755061588
Tuna pokea Matangazo ya StarTV na Radio Free Africa. Wasiliana nasi kwa Email: adammzuza@yahoo.com au mzuzanindi@gmail.com | Simu: 0755 731 234 au 0655 731 234   kwa Mawasiliano zaidi unaweza kutumia NO 0755061588 Judith Lugoye ,shuguli zote za blog hii anaweza kukusaidia MATANGAZO , AU HABARI

Sunday, February 28, 2016

BRIGEDIA WA KANDA YA KUSINI KIKOSI CHA TEMBO 401 ASHIRIKI USAFI SONGEA



Mkuu wa Mkoa akiwa pongeza wana Ruvuma amesema dalili ya kuzingatia usafi ni pale unapo ona Kipindu pindu  hakija ingia mkoani mwako jambo mhimu ni kila mwananchi kuhakikisha taka anazo zizalisha zina wekwa mahali malumu tayari kwa kuzolewa.amesema katika maeneo yanayo zalisha taka kwa wingi ni katika Masoko jambo la muhimu ni kuhakikisha taka hizo zina zolewa



Mkuu wa wilaya ya songea  Besoni Mwampesia amewataka wafanya biashara kuzingatia usafi katika eneo lao nano wadau walio shiriki  usafi wamekiri kuwa usafi ni tabia aliyo zaliwa nayo mtu

Mkuu wa wilaya ya songea  Besoni Mwampesia amewataka wafanya biashara kuzingatia usafi katika eneo lao nano wadau walio shiriki  usafi wamekiri kuwa usafi ni tabia aliyo zaliwa nayo mtu


Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma Said Thabit Mwambungu amewataka wanaruvuma kupingana na Maradhi mbalimbal kwa  kuweka usafi katika maeneo yao  ikiwemo  na kuchemmusha maji ya kunywa,kuepukan na kula vyakula vilivyo lala pamoja na kufuata kanuni zote za Afya



Bregidia wa kanda ya kusini kikosi cha 401 cha Tembo Meja jenelali Goerge Msongole amesema usafi ni tabia ,wasio jua usafi wanatakiwa kujua maana ya amuri  Rais kaamuru kufanya usafi  kila mmoja ana takiwa kutii amuri hiyo kama Mkuu wa Mkoa ametii  amuri hiyo nani wa kuacha usafi,




Viongozi wa Serekari kutoka sekita mbalimbali wa kishirikiana na wananchi wengine wameshiriki kufanya usafi pamoja na kushiriki sherehe za kumbukizi vya vita vya majimaji ambavyo huadhimishwa kila mwaka mwezi wapili

Mkuu wa wilaya ya songea  Besoni Mwampesia amewataka wafanya biashara kuzingatia usafi katika eneo lao nano wadau walio shiriki  usafi wamekiri kuwa usafi ni tabia aliyo zaliwa nayo mtu

No comments:

Post a Comment