KILA WAKATI ANGALIA STAR TV NA KUSIKILIZA RADIO FREE AFRICA Matangazo

UKIWA NA TANGAZO TAFADHALI WA SILIANA NA SISI KWA NAMBA 0755731234 AU 0755061588
Tuna pokea Matangazo ya StarTV na Radio Free Africa. Wasiliana nasi kwa Email: adammzuza@yahoo.com au mzuzanindi@gmail.com | Simu: 0755 731 234 au 0655 731 234   kwa Mawasiliano zaidi unaweza kutumia NO 0755061588 Judith Lugoye ,shuguli zote za blog hii anaweza kukusaidia MATANGAZO , AU HABARI

Saturday, February 20, 2016

WANANCHI WA MKOA WA RUVUMA WAMETAKIWA KUJITOKEZA KUPIMA MAGONJWA YASIYOPEWA KIPAUMBELE KATIKA KAMPENI YA KUTOKOMEZA MAGONJWA HAYO ITAKAYOFANYIKA WIKI IJAYO.


Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma Said thabit mwambungu amesema watu waache ufahari wa kuona  busha  ni jambo la kujivunia swala mhimu ni kwenda kufanyi upasuaji na tiba yake ni bure


Mratibu wa Magonjwa yaliyosahaulika Tanzania Dr. Edward Kirundi  kulia amesema Magonjwa ya Matende, usubi, Kichocho, Trakoma na minyoo ni magonjwa yanayosababisha Umaskini katika jamii ya Watanzania  
 Mkuu wa Wilaya ya Nyasa Magret Malenga akionekana kwa mbali meza ya kwanza akisikiliza kwa makini hotuba ya Mkuu wa Mkoa kuhusu Magonjwa yaliyo sahaulika yanayo enezwa na mbu
 Zawa za kuzuia magonjwa yaliyo sahaulika ya Matende, Usubi, Kichocho, Trakoma na Minyoo


Mganga mkuu wa hospitali ya Mkoa wa Songea amesema magonjwa hayo yote matano yapo la mhimu kwanza kuzingatia usafi na kumeza vidonge vitakavyo tolewa kuanzia wiki ijayo


 Mwenyekiti wa Halimashauri ya Nyasa akitoa hoja kuhusu kujua kama vidonge vitakavyo tolewa kama vina madhara yoyote kwa binadamu.Alijibiwa na Mratibu wa Mafunzo hayo kuwa vidonge hivyo havina Madhara ila wanafunzi wanapo kunywa vidonge vya Minyoo lazima wawe wame shiba kwanza
 Wakurugenzi wa Halimashauri za Mkoa wa Ruvuma wakisikiliza semina ya kampeni ya kumeza vidonge kwa magonjwa liyo sahaulika
 Viongozi mbalimbali walio hudhulia semina ya jinsi ya kutokomeza magonjwa ya Matende, Usubi, Kichocho, Trakoma na Minyoo
 Mkurugenzi wa Halimashauri ya Wilaya ya Namtumbo akiwa karibu na Mkurugenzi wa Halimashauri ya Tunduru
                                        Wadau kutoka maeneo mbambali ya Mkoa wa Ruvuma
Semina ya Uhamasishaji kuhusu Magonjwa yaliyosahaulika ilihusisha Wilaya zote za Mkoa wa Ruvuma pamoja na waganga, waratibu na Viongozi wa kisiasa ngazi ya Halmashauri.

Wananchi wa Mkoa wa Ruvuma wametakiwa  kumeza dawa zinazo  zuia kuenea kwa Magonjwa yaliyo sahaulika ya kiwemo Magonjwa ya  Matende, Usubi, Kichocho, Trakoma na Minyoo.
Mratibu wa Magonjwa Yaliyosahaulika Nchini Tanzania Dr. Edward Kirundi amesema Magonjwa hayo  yanatibika, Cha muhimu ni  kila mmoja kushiriki katika kampeni ya kya tokomeza Ma gonjwa hayo kwa kutoa elimu iliyo sahihi ili kuifanya jamii kuelewa tatizo lillo mbele yao

No comments:

Post a Comment