KILA WAKATI ANGALIA STAR TV NA KUSIKILIZA RADIO FREE AFRICA Matangazo

UKIWA NA TANGAZO TAFADHALI WA SILIANA NA SISI KWA NAMBA 0755731234 AU 0755061588
Tuna pokea Matangazo ya StarTV na Radio Free Africa. Wasiliana nasi kwa Email: adammzuza@yahoo.com au mzuzanindi@gmail.com | Simu: 0755 731 234 au 0655 731 234   kwa Mawasiliano zaidi unaweza kutumia NO 0755061588 Judith Lugoye ,shuguli zote za blog hii anaweza kukusaidia MATANGAZO , AU HABARI

Sunday, February 28, 2016

MKOA WA RUVUMA WA FANYA SHEREHE ZA KUMBUKIZI ZA MASHUJAA WALIO KUFA WAKATI WA VITA VYA MAJIOMAJI

 Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma akiongoza kumbukizi ya sherehe za Mashujaa waliouwawa wakati wa Vita vya Majimaji
 Mnara wa Mashujaa walio kufa wakati wa vita vya Majimaji
 Jeshi la wananchi likitoa salamu za Maombelezo kwa Mashujaa waliokufa wakati Wa Vita vya Majimaji
             Maombelezo yakiendelea kwa kutoa heshima kwa Mashujaa wa Vita vya Majimaji
                                     Heshima ikitolea kwa Mashujaa wa Vita Vya Majimaji
 Makamanda wakionyesha Heshima na Utulivu kwa kuwakumbuka wenzao walio tangulia
 Shujaa chifu Songea alinyongwa katika maeneo haya na kichwa chake kukatwa na kupelekwa Ujerumani ikiwa ni kisasi baada ya kuwasumbua Wajerumani
Nihuzuni ya namuna yake kuwapoteza mashujaa lakini ni ushujaa ulio onyeshwa na wazee wetu wa zamani kupigania uhuru hadi kukubali kunyongwa na wajerumani

1 comment:

  1. Hakika inabidi tuwakumbuka kwa heshima sana Ahsante kwa kumbukumbu hii tupo pamoja daima!

    ReplyDelete