KILA WAKATI ANGALIA STAR TV NA KUSIKILIZA RADIO FREE AFRICA Matangazo

UKIWA NA TANGAZO TAFADHALI WA SILIANA NA SISI KWA NAMBA 0755731234 AU 0755061588
Tuna pokea Matangazo ya StarTV na Radio Free Africa. Wasiliana nasi kwa Email: adammzuza@yahoo.com au mzuzanindi@gmail.com | Simu: 0755 731 234 au 0655 731 234   kwa Mawasiliano zaidi unaweza kutumia NO 0755061588 Judith Lugoye ,shuguli zote za blog hii anaweza kukusaidia MATANGAZO , AU HABARI

Tuesday, August 20, 2013

AKINA MAMA WAFURAHIKUWAONA WAUME ZAO KATIKA MACHIMBO YA URENIAM

 Wake wa Wafanya kazi wa Mgodi wa Urenium Namtumbo wakielekea Mgodini(mkuju) kuwatembelea waume zao ambao huwatembelea kila baada ya miezi mitatu.
 Wake wa Wafanya kazi wa Mgodi wa Urenium Mkuju Namtumbo wakipata chakula cha pamoja na waume zao walipokwenda kuwatembelea mgodini hapo.
 Wake wa wafanyakazi wa Mgodini wakitembelea maeneo mbalimbali yanayozunguka Mgodi wa Urenium Namtumbo wakiangalia kazi wanazozifanya waume zao na namna inavyoonekana Urenium.
 Wadau mbalimbali wakiangalia Urenium kabla yakuchimbwa na kupata maelekezo toka kwa wafanyakazi wa mgodi jinsi wanavyofanya kazi ya uchimbaji wa urenium.
Mtaalamu wa Jiolojia(mwenye shati la Kijani) katika Mgodi wa Urenium Mkuju Namtumbo akiwatoa hofu wake za wafanyakazi wa Mgodi kuwa Urenium haisababishi watu kupunguza nguvu zakiume kama ambayo wananchi wengi wamekuwa wakiamini kuwa Urenium inapunguza nguvu za kiume. Aliyevaa Jaketi jekundu ni mwariri mwandamizi wa Gazeti la Habari Leo kutoka Dar-es-salaam alipotembelea mgodini hapo.

No comments:

Post a Comment