KILA WAKATI ANGALIA STAR TV NA KUSIKILIZA RADIO FREE AFRICA Matangazo

UKIWA NA TANGAZO TAFADHALI WA SILIANA NA SISI KWA NAMBA 0755731234 AU 0755061588
Tuna pokea Matangazo ya StarTV na Radio Free Africa. Wasiliana nasi kwa Email: adammzuza@yahoo.com au mzuzanindi@gmail.com | Simu: 0755 731 234 au 0655 731 234   kwa Mawasiliano zaidi unaweza kutumia NO 0755061588 Judith Lugoye ,shuguli zote za blog hii anaweza kukusaidia MATANGAZO , AU HABARI

Tuesday, August 20, 2013

WAHARIRI WAANDAMIZI WA GAZETI LA HABARI LEO WAKIPEWA MAELEZO BAADA YA KUTEMBELEA ENEO LA KUZALISHA VIFARANGA VYA SAMAKI ENEO LA LUHILA SONGEA

 Maafisa  waandamizi wa Gazeti la Serikali la Habari Leo  Dativa Minja na Beda Msimbe kutoka Dar es Salaam walipotembelea katika Bwawa la Kuzalisha vifaranga vya Samaki la Luhila Manispaa ya Songea Kwa Mjibu ya Tarifa alizo pewa Juma Nyumayo na Afisa Uvuvi amesema kuna Vifaranga vya Samaki vipatavyo 127,617
 Kiongozi wa Habari Leo Dativa Minja akiwa na Mwenyeji wake Mwariri Mwandamizi wa Magazeti ya Kanda ya Kusini TUJIFUNZE Juma Nyumayo wakiangalia hali ya uzalishaji wa Samaki kwa njia ya kisasa.Ambapo Wanchi wa Wilaya ya songea wamefaidika kwa kuuziwa  vifaranga 75,850
 Mkoa wa Ruvuma ni miongoni mwa Mikoa yaMajaribio ya Uzalishaji wa Vifaranga kwa njia ya kisasa ambapo kwa sasa Mkoa umefanikiwa kupandikiza Samaki Dume kuzalisha Vifaranga.Pichanini ni Kiongozi kutoka Habari Leo Dativa Minja akiangalia Bwawa hilo lililopo Luhila Manispaa ya Songea  alipotembelea Mkoani Ruvuma kwa kazi maalumu.
 Maafisa Waandamazi wa Gazeti la Serikali la Habari Leo Bw. Beda Msimbe na Dativa Minja wakipewa maelezo ya kina kuhusu uzalishaji wa Vifaranga katika Bwawa la Luhila lililopo Manispaa ya Songea.
 Maafisa Waandamazi wa Gazeti la Serikali la Habari Leo Bw. Beda Msimbe na Dativa Minja wakisikiliza kwa makini kuhusu uzalishaji wa Vifaranga na njia zinazotumika kuboresha ufugaji wa Samaki katika Bwawa la Uzalishaji wa Samaki Luhila Manispaa ya Songea.

No comments:

Post a Comment