KILA WAKATI ANGALIA STAR TV NA KUSIKILIZA RADIO FREE AFRICA Matangazo

UKIWA NA TANGAZO TAFADHALI WA SILIANA NA SISI KWA NAMBA 0755731234 AU 0755061588
Tuna pokea Matangazo ya StarTV na Radio Free Africa. Wasiliana nasi kwa Email: adammzuza@yahoo.com au mzuzanindi@gmail.com | Simu: 0755 731 234 au 0655 731 234   kwa Mawasiliano zaidi unaweza kutumia NO 0755061588 Judith Lugoye ,shuguli zote za blog hii anaweza kukusaidia MATANGAZO , AU HABARI

Wednesday, August 14, 2013

BEDA UNAIONAJE SONGEA KATIKA UTAFITI WAKO WAAMBIE WASIO UJUA MKOA WA RUVUMA

 Hayo ni maeneo anayo fanyia kazi bwana Beda Msibwe katika kutangaza vivutio vya Moa wa Ruvuma hiyo ni hotell mashuri ambayouna pata vyakula vya asili vya mtanzania
 Crista Park Mo tell ni moja ya vivutio kwa wageni mkoani hapa vyakula vyote vya kigeni hupatika katika hoteli hiiina wahudumu walio enda shule na kuhitimu vizuri,uingiapo hapo una weza kusahau hata nyumbani
Beda Msimbwe baada ya kupata chakula katika Motel ya Crita Park akionyesha furaha kwa jinsi chakula kilivyo bora alio kuwa nao ni mabloger wa Mkoa wa Ruvuma kushoto  Adam Mzuza Nindi  Demasho blog
Demasho akimwonyesha maeneo ndugu Beda Msimbwe katika eneo Songea Mjini
Nimekuambia ndugu yangu moja ya vivutio vizuri Mkoani hapa ni chakula cha uhakika kama unavyo kiona huo una itwa Ugali kwa Samaki

No comments:

Post a Comment