KILA WAKATI ANGALIA STAR TV NA KUSIKILIZA RADIO FREE AFRICA Matangazo

UKIWA NA TANGAZO TAFADHALI WA SILIANA NA SISI KWA NAMBA 0755731234 AU 0755061588
Tuna pokea Matangazo ya StarTV na Radio Free Africa. Wasiliana nasi kwa Email: adammzuza@yahoo.com au mzuzanindi@gmail.com | Simu: 0755 731 234 au 0655 731 234   kwa Mawasiliano zaidi unaweza kutumia NO 0755061588 Judith Lugoye ,shuguli zote za blog hii anaweza kukusaidia MATANGAZO , AU HABARI

Monday, August 12, 2013

JUBILEI YA MIAKA 25 YA MPANGO WA HUDUMA YA AFYA YA MSINGIHOSPITALI YA PERAMIHO9COMMUNITY BASED HEALTH CARE CBHC]

 Mkurugenzi wa Hospitali ya Peramiho Dr Ansgal Stuffe akiwa katika kuadhimisha miaka 25 ya HAMU  Kwa mafanikio Makubwa
 Wahudumu waanzilishi wa Huduma ya Afya ya Msingi walio anza miaka 25 iliyo pia
 Mkurugenzi wa Hospitali ya Peramiho Dr Ansigali Stuffe akiwa Mratibu wa Afya ya Msingi Tarafa ya Maposeni Abell Mapunda
Dr Ansgal Stuffe Akiingia katika ukumbi wa Emau kufunga semina ya watamu mbali mbali kutoka Mkoa wa Ruvuma
 Abell Mapunda akimkaribisha Mkurugenzi wa Hospitali ya Peramihoili aweze kufunga Semina ya Wahudumu wa Afya
 Washiriki wa Semina ya Huduma ya Afya ya Msingi wakiwa Peramiho ukumbi wa Emau
 Washiriki wakisikiliza kwa makini mafanikio na Changamoto katika huduma ya Afya ya Msingi
 Ni washiriki wa kiwa ukumbi wa Emau Peramiho songea vijijni
 Wahudumu wa AFYA YA MSINGI wakiadhisha miaka 25 ya Jiblei
 Mwakilishi wa Dakitari wa Mkoa wa Ruvuma Dr Philis Morris Nyimbi akifungua rasimi semina ya Huduma ya Afya ya Msingi Peramiho
Mganga mkuu wa Hospitali ya Nyasa   akisikiliza kwa makini changamoto zinazo wakabili wananchi wa mkoa wa Ruvuma

No comments:

Post a Comment