KILA WAKATI ANGALIA STAR TV NA KUSIKILIZA RADIO FREE AFRICA Matangazo

UKIWA NA TANGAZO TAFADHALI WA SILIANA NA SISI KWA NAMBA 0755731234 AU 0755061588
Tuna pokea Matangazo ya StarTV na Radio Free Africa. Wasiliana nasi kwa Email: adammzuza@yahoo.com au mzuzanindi@gmail.com | Simu: 0755 731 234 au 0655 731 234   kwa Mawasiliano zaidi unaweza kutumia NO 0755061588 Judith Lugoye ,shuguli zote za blog hii anaweza kukusaidia MATANGAZO , AU HABARI

Wednesday, August 14, 2013

WANANCHI WANAO ISHI PEMBEZONI HUISHI KWA MATATIZO HASA KATIKA UTAFUTAJI PESA

 Jamii ya Watanzania wengi walioko pembezoni mwa Nchi katika kisomo chao wameweva kupata elimu kwa akina mama kuuza bagia kama unavyo ziona hapo juu lakini pamoja na hayo hakuna anaye weza kuzungumuza kuhusu bidhaa hiyo uki onekana una zungumuzia au kununua una onekana Mshamba.
 Katika Utengenezaji wa Bagia uko aina nyingi bagia imeweza kuwa somesha watu wengi kutokana na gharama zake pia kwa vijijini ndicho kitafuno kikubwa ambacho kuanzia mtoto hadi mkubwa ana uwezo wa kukimudu jee unaye soma Blog hii umesomeshwa kwa mtindo gani, kama ni mtindo huu basio uwapo kijijini jaribu kuwa ungisha wa uzaji wa bidhaa hizi
 Kama sikosei hakuna mtu asiye juua usafiri wa kijijini ni upi rahisi Gari za Vijijini ambo huweza kusafirisha bidhaa kiurahisi ni Punda hap[omama baada ya kutengeza pombe iitwayo Komoni ikiwa ime wekwa kwenye Gudulia tayari kwa kwenda kuuza
 Watoto wenye umuri wa miaka 9-12 ndio wanao kuwa madereva wa kuendesha mikokoteni ya Punda wanasema kufanya hivyo kuna wasaidia kuweza kupata sare za shule, mahitaji muhimuya nyumbanipamoja na kuwa safirisha watu kwenda hospitalini, Jee wewe una mchango gani katika usafishaji wa Bidhaa vijijini
 Punda anapo safiri huweza kujua kanununi zote za Barabarani akiambiwa simama huweza kusimama akiambiwa kimbia basi hukimbia lakini kama nilivyo sema madereva wa Usafiri huoa ni watoto walio chini ya miaka 12 hapoakiwa kijijiji cha morogoro kuelekea mashambani
 Mama akiwa ana pokea pombe aliyo mtuma kijana aliye chini ya miaka 12 hapo ana ipeleka kilabuni tayari kwa kuuza
 Katika kuadhimisha miaka 25 ya Huduma ya Afya ya Msingi Tarafa ya Ruvuma mpiga mbiu ya mgambo akiwa ita watu kusogea eneo la Sherehe uwanja wa Litisha Songea vijijini
 Mtaji ulio wajuu kasa vijijini ni uuzaji wa pombe za kienyeji wanywaji hudai kuwa unapo kunywa pombe za kienyeji zina leta nguvu hata katika utayarishaji wa kilimo.jambo lingine huwa tiba wa watu wanao ishi vijijini ukiangalia ongezeko la wangonjwa vijijini na mjini wagonjwa wengi hutoka mijini
 Mzee Marufu litisha akinywa Pombe ya kienyeji ijulukanayo kwa jina la Komoni Mzee Myakaya ana serma bila kuonja pombe ya kienyeji hawezi kufanya kazi yoyote ile
Usisahau Usafiri wetu vijijini tunapo zungumuza swala la Mkurabita tuangalie sana vijijini kweli ifikapo  2025 tutaweza uondoea umasikini waja wazito hawata safirishwa na punda, eneo la kilimo hatuta tegemea mifugo kwa ajili ya plau

No comments:

Post a Comment