KILA WAKATI ANGALIA STAR TV NA KUSIKILIZA RADIO FREE AFRICA Matangazo

UKIWA NA TANGAZO TAFADHALI WA SILIANA NA SISI KWA NAMBA 0755731234 AU 0755061588
Tuna pokea Matangazo ya StarTV na Radio Free Africa. Wasiliana nasi kwa Email: adammzuza@yahoo.com au mzuzanindi@gmail.com | Simu: 0755 731 234 au 0655 731 234   kwa Mawasiliano zaidi unaweza kutumia NO 0755061588 Judith Lugoye ,shuguli zote za blog hii anaweza kukusaidia MATANGAZO , AU HABARI

Thursday, August 15, 2013

BINADAMU ANA TAKIWA KUIGA MAISHA YA KINYONGA HUJIBADILISHA WAKATI SHIDA NA HUJIBADILI WAKATI WA RAHA

 Mazingira ya wanyama mbalimbali huishi sawa na eneo wanalo taka wanyama kama kinyonga, Kenge, Mjusi hutafuta maeneo ambayo wanaweza kupata kitoweo kwa urahisi kama vipepeo nzige na samaki wadogo katika kisiwa hiki cha pomonda kuna kila aina ya mijusi ya Rangi pia Vingonga wa kila namuna
 Moja ya Vivutio kwa Watali ni Vinyonga wa ana mbali mbali kama unavyo mwona huyo hapo juu .Lakini la msingi kinyonga huishi kwa utalamu anapo taka mawindo fulani hujibadili na sehemu aliyopo.Nivizuri nao binaadamu wa kajifunza hali ya Kinyonga ili wakati wa Shida  wajue kuna shida na wakati wa raha wakalijiua hilo
 Kinyonga hana Rangi isipo kuwa Mwenyezi Mungu amempa kinyonga Uwezo wa kujibadili kutokana na Hali ya Mazingira ilivyo ana uwezo wa kujikinga ha Hatari kutokana na Hali ilivyo, Hapo Kajibadili akiwa Katika Jiwe kubwa eneo la Pomonda.
 Maua yanapo chanua huonyesha furaha na yapo nyauka huonyesha mwisho wa uhai wa Binadamuhata Binadamu humia maua yanapo chanua kuonyesha furaha .Hakuna  anaye tumia ua likiwa lime nyauka

No comments:

Post a Comment