KILA WAKATI ANGALIA STAR TV NA KUSIKILIZA RADIO FREE AFRICA Matangazo

UKIWA NA TANGAZO TAFADHALI WA SILIANA NA SISI KWA NAMBA 0755731234 AU 0755061588
Tuna pokea Matangazo ya StarTV na Radio Free Africa. Wasiliana nasi kwa Email: adammzuza@yahoo.com au mzuzanindi@gmail.com | Simu: 0755 731 234 au 0655 731 234   kwa Mawasiliano zaidi unaweza kutumia NO 0755061588 Judith Lugoye ,shuguli zote za blog hii anaweza kukusaidia MATANGAZO , AU HABARI

Sunday, August 25, 2013

WATOTO WANAO ISHI KATIKA MAZINGIRA HATARISHI SONGEA WAPATA MSAADA WA CHAKULA KUTOKA POLICE SONGEA


Kamanda wa Police Mkoa wa Ruvuma Deusdedit Nsimike akiwakilishwa na Kamishina Msaidizi wa Police George Chiposi  amelitaka jeshi la Police na Wananchi kwa ujumula kuwa na tabia ya Huruma Upendo kwa watoto ambao wamepoteza wazazi wao .

Kamanda wa Police Mkoa wa Ruvuma Akiwakilishwa na Kamishina Masaidizi wa Police Goerge Chiposi amesema wimbi la Watoto wanao ishi katika Mazingira Hatarishi lina zidi kuongezeka kutokana na watoto kupoteza wazazi wawili pia Mfarakano katika Ndoa ,Watoto wana baki bila Malezi ni juu ya Jamii sasa kuchukua Hatua ya kuwa sadia
Kamishina wa Police George Chiposi amesema karine zote zilizopita Jeshi la Police ndilo lililo kuwa kitishio cha watoto hivyo Watoto  walitokea kuichukiwa Jeshi la Police .sasa Police wanatakiwa kubali hali hiyo kivitendo

Mumiliki wa kituo cha  kulelea watoto cha St Antony  Anna Majic kilichopo mfaranyaki songea  amesema ameshukuru kupata ushirikiano na jeshi la Police  kwa kupata msaada  wa vyakula  huo ni ujumbe tosha kwa watoto.



Katika kilele cha siku ya Police Mkoani Ruvuma kumeandamana na Police wanawake kufanya semina ya jinsi ya kukomesha vitendo viovu wanavyo fanyiwa jamii.pia kutoa elimu katika maeneo mbalimbali jinsi ya kuwa fanya wananchi wasaidiane na police kutokomeza vitendo vya kiuhalifu

No comments:

Post a Comment