KILA WAKATI ANGALIA STAR TV NA KUSIKILIZA RADIO FREE AFRICA Matangazo

UKIWA NA TANGAZO TAFADHALI WA SILIANA NA SISI KWA NAMBA 0755731234 AU 0755061588
Tuna pokea Matangazo ya StarTV na Radio Free Africa. Wasiliana nasi kwa Email: adammzuza@yahoo.com au mzuzanindi@gmail.com | Simu: 0755 731 234 au 0655 731 234   kwa Mawasiliano zaidi unaweza kutumia NO 0755061588 Judith Lugoye ,shuguli zote za blog hii anaweza kukusaidia MATANGAZO , AU HABARI

Wednesday, October 3, 2012

AIRTEL YA JIKOMBOA KWA KUTUMIA SOLA IRINGA VIJIJINI

 Wananchi wa kata ya Itundu wakiongea kwa nyakati tofauti wameishukuru serekari kwa kuruhusu mitandao mbalimbali kutoa huduma kwa njia ya simu wamesema wao wamefikiwa na  Mtandao wa airtel ambao umerahisisha huduma za kibenk na biashara za mazao mbalimbli
 Mtalamu wa Blog Michuzi akiwa safarini kujionea Airtel inavyo Toa Huduma Kwa wananchi wa Iringa Vijijini.
 Mtandao wa Airtel unapendwa na watu wengi hebu ona Mtoto anavyo Furahia Mtandao
 Mtalamu wa Blog Ndugu Michuzi akiwa juu ya Mnara Itundu kuangalia jinsi ya Sola inavyo fanya kazi kwenye Mtandao wa Airtel Huko Itundu Iringa Vijijini
Mkongwe wa Habari Adamu Nindi akiwa katika kijiji cha Itundu Iringa Vijijini akiwa juu ya Mnara wa Airtel kuangalia matumizi halisi ya Sola katika kijiji hicho
 Mwenyekiti wa kijiji cha kimande kata ya Itunundu Andasoni Mpululu amesma kata ya Itundu ina shugulika zaidi na kilimo cha umwagiliaji wa zao la Mpunga,Hapo awali kupata soko ilikuwa ni ngumu lakini hivi sasa biashara hiyo huenda kwa njia ya mtandao na mnunuzi hulipa kupitia Airtel Money.

No comments:

Post a Comment