KILA WAKATI ANGALIA STAR TV NA KUSIKILIZA RADIO FREE AFRICA Matangazo

UKIWA NA TANGAZO TAFADHALI WA SILIANA NA SISI KWA NAMBA 0755731234 AU 0755061588
Tuna pokea Matangazo ya StarTV na Radio Free Africa. Wasiliana nasi kwa Email: adammzuza@yahoo.com au mzuzanindi@gmail.com | Simu: 0755 731 234 au 0655 731 234   kwa Mawasiliano zaidi unaweza kutumia NO 0755061588 Judith Lugoye ,shuguli zote za blog hii anaweza kukusaidia MATANGAZO , AU HABARI

Tuesday, October 2, 2012

WAANDISHI WA HABARI WAMETAKIWA KUJIEPUSHA NA HABARI ZENYE KULETA UCHOCHEZI

 WAaandishi wa Habari wa Mkoa wa Ruvuma walioshiriki Semina ya Maadili iliyofanyika katika Ukumbi wa Ushirika Songea. Anayesoma gazeti ni Katibu wa Chama cha Waandishi wa Habari Mkoa wa Ruvuma Bw Andrew Chatwanga.
 Waandishi wa Rvuma Press Club wakifuatilia kwa Makini mafunzo ya Maasemina ya Maadili iliyofanyika katika Ukumbi wa Ushirika Songea Manispaa.
 Mwezeshaji wa Mafunzo Maadili Rose Ngunangwa Mwalongo akiwa na Mwenyekiti wa Semina ya Maadili Thoma Lipukaliyofanyika katika Ukumbi wa Ushirika Songea.
 Waandishi wa Habari wa Mkoa wa Ruvuma wakiwa katika picha ya pamoja baada kushiriki semina ya maadili, mwenye suti nyeusi na blauzi ya pundamilia kulia ni Wambura Wasira mwezeshaji kutoka Baraza la Habari Tanzania (MCT)
Wandishi wa Habari wametakiwa kuandika habari kwa kuzingatia kanuni sheria na kufuata maadili bila kuandika habari ambayo ina weza kusababisha uvunjifu wa Amani.
Hayo yamebainika katika semina iliyo andaliwa na MCT Baraza la Habari Tanzania kuhusu kujenga uwezo wa Waandishi wahabari katika kuandika habari bila kuleta uchochezi kwa wananchi

No comments:

Post a Comment