KILA WAKATI ANGALIA STAR TV NA KUSIKILIZA RADIO FREE AFRICA Matangazo

UKIWA NA TANGAZO TAFADHALI WA SILIANA NA SISI KWA NAMBA 0755731234 AU 0755061588
Tuna pokea Matangazo ya StarTV na Radio Free Africa. Wasiliana nasi kwa Email: adammzuza@yahoo.com au mzuzanindi@gmail.com | Simu: 0755 731 234 au 0655 731 234   kwa Mawasiliano zaidi unaweza kutumia NO 0755061588 Judith Lugoye ,shuguli zote za blog hii anaweza kukusaidia MATANGAZO , AU HABARI

Saturday, October 6, 2012

: HALI YA UCHOMAJI MOTO MKOA WA RUVUMA INAVYO WAASIL...

 Ukiangalia kwa juu utaona msitu mkubwa ukiwa umeteketea kwa moto SOWASA kila mwaka ina jitahidi kupanda miti ili kulinda vyo vya maji.Hivi sasa kutokana na ukosefu wamaji uchunguzi ulio fanywa na mtandao huu asilimia 25% ya wakaazi wa Manspaa ya songea ndio wanao oga maja moja kwa siku wengine walio baki  75% huji futa maji mwilini na wengine kunawa uso
 Kutona na wananchi kuto Linda vyanzo vya maji pamoja na uchomaji wa moto ovyo wasababisha wananchi wa Manspaa ya Songea kulazimika kupata mgao wa maji,
Katika kikao cha kutathimini majanga ya Moto katika mkoa wa Ruvuma imeonyesha watu walio wengi hawana elimu ya kutunza mazingira na kujua kuwa kazi ya utunzaji mazingira niya serekari

 Pamoja na kibao hiki kueleza kuwa eneo hili halitakiwi kulima wala kuchoma moto lakini watu bado wana haribu mazingira
Mkurugenzi wa Mamulaka ya Maji safi na Maji taka  SOWASA  Francis Kabongo amesema uchoji wa moto katika vynzo vya maji umeweza kuleta  hasara kubwa kwa kuunguza miti ambayo ni rafiki wa maji  ,miti hiyo imepandwa mfululizo miaka mitano ili kuimarisha vyanzo vya maji .swala  hilo limepelekea kushuka uzalishaji wa maji kwa asilimia 50%

No comments:

Post a Comment