KILA WAKATI ANGALIA STAR TV NA KUSIKILIZA RADIO FREE AFRICA Matangazo

UKIWA NA TANGAZO TAFADHALI WA SILIANA NA SISI KWA NAMBA 0755731234 AU 0755061588
Tuna pokea Matangazo ya StarTV na Radio Free Africa. Wasiliana nasi kwa Email: adammzuza@yahoo.com au mzuzanindi@gmail.com | Simu: 0755 731 234 au 0655 731 234   kwa Mawasiliano zaidi unaweza kutumia NO 0755061588 Judith Lugoye ,shuguli zote za blog hii anaweza kukusaidia MATANGAZO , AU HABARI

Tuesday, October 9, 2012

MKURUGENZI WA HOSPITALI YA PERAMIHO DR ANSIGAL STUFE OSB AMETOA MCHANGO WA SHILINGI MILIONI 5 KWA AJILI YA KUANZISHA RADIO YA WAANDISHI WA HABARI WA SONGEA

Mkurugenzi wa Hospitali ya Peramiho  Dr Ansigal Stuffe ameweza kuchangia uanzishaji wa Radio kwa kutoa shilingi milioni tano
 Mratibu wa Afya ya Msingi Tarafa ya Maposeni Abeli Mapunda akitoa Shilingi Milioni 5 alizo pewa na Dr Ansigal Stufee azikabidhi kwa Ruvuma Press Club
 Mwenyekiti wa Ruvuma Press Club Andrew Kuchonjoma akimpa maelezo Abeli Mpunda jinsi Radio itakavyo toa Huduma kwa Wananchi wa Mkoa wa Ruvuma
 Abeli Mapunda akiwa Tayari kukabidhi cheki ya shilingi milioni 5 hiyo aliyo ishika mkononi
Picha yas pamoja na Wandishi wa Habari wa Mkoa wa Ruvuma wakwanza kulia Mwenyekiti Andrew Kuchonjoma ,ayefuatia Abeli Mapunda Mratibu wa Afya Hosipitali ya Peramiho Mama aliye kaa katikati makamu mwenyekiti wa Ruvuma press Club Letesia Nyoni ,Wamwisho kushoto Katibu wa RPC Andrew Chatwanga walio simama kulia ni Catherini Nyoni,Mosses Konara,Adamu Nindi, na wa mwisho kushoto Joseph Mwambije

No comments:

Post a Comment