KILA WAKATI ANGALIA STAR TV NA KUSIKILIZA RADIO FREE AFRICA Matangazo

UKIWA NA TANGAZO TAFADHALI WA SILIANA NA SISI KWA NAMBA 0755731234 AU 0755061588
Tuna pokea Matangazo ya StarTV na Radio Free Africa. Wasiliana nasi kwa Email: adammzuza@yahoo.com au mzuzanindi@gmail.com | Simu: 0755 731 234 au 0655 731 234   kwa Mawasiliano zaidi unaweza kutumia NO 0755061588 Judith Lugoye ,shuguli zote za blog hii anaweza kukusaidia MATANGAZO , AU HABARI

Sunday, October 7, 2012

ALEX NCHIMBI ACHAGULIWA KUONGOZA VIJANA MKOANI RUVUMA

Katika uchaguzi ulio fanyika wa kumchagua mwenyekiti wa vijana Mkoa wa Ruvuma Alex Nchimbi aliibuka kuwa mshindi kwa kupata  kura 392  dhidi ya kura 460 zilizo pigwa ,mjumbe wa mkutano mkuu Taifa alichaguliwa Ziada Ntani  kutoka wilaya ya Namtumbo mkoani ruvuma .
 Mkuu wa mkoa wa Ruvuma Said Thabit Mwambungu amewataka vijana kuwa Dira ya watanzani katika kulinda amani na utulivu tulio nao. Amesema chanzo cha machafuko Duniani kote kuna tokana na msingi mzima katika malezi ya vijana ka.

Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma Saidi Thabit Mwambungu ameyasema hayo wakati akifungua mkutano mkuu wa Vijana ambao uliambatana na uchaguzi mkuu wa kuchagua Mwenyekiti na mwakilishi wa mkutano mku Taifa.

Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma  Said Thabiti Mwambungu amesema msingi mzima wa utulivu na amani umetokana na viongozi walio pita kwa kuwajenga vijana katika maadili mema ya uendeleza utulivu na amani  tulio nao ,Hivyo ametaka vijana kufuata msingi ulio achwa na wasisi wa chama  Tawala CCM ,Nakatika kuchagua viongozi msingi mzima achaguliwe kiongozi aliye bora ambaye ana uchungu na nchi yake  na siyo kuwa na  uchu wa madaraka
 Viongozi wa dini walio hudhuria uchaguzi huo Abudul Omary na Mchungaji Benedict Kazimoto  walimwomba mwenyezi Mungu kuwaondolea chuki kwa wale watakao shindwa na pia kuongeza mapenzi mema kwa viongozi watakao shinda.kwani uongozi hutoka kwa  Mungu
 Nikawaida kwa washiri wa uchaguzi kutafakari kila wakati hapo ndugu huyo akipiga usingizi wakati uchaguzi unaendelea

Katibu wa Vijana Mkoa wa Ruvuma Mwajuma Mohamedi amesma shaba kubwa ya vijana katika kipindi hiki nikuongeza wigo wa kiuchumi na kuibua miradi mbali mbali ili kuwainua vijana kibiaqshara .
Mvatano inje ya ukumbi wa open univerity songea wajumbe wakidai uchaguzi umeambatana na mizengo ,Hao ni baadhi ya wagombea wa kiti cha Uwenyekiti wa Vijana Mkoa wa Ruvuma

No comments:

Post a Comment