KILA WAKATI ANGALIA STAR TV NA KUSIKILIZA RADIO FREE AFRICA Matangazo

UKIWA NA TANGAZO TAFADHALI WA SILIANA NA SISI KWA NAMBA 0755731234 AU 0755061588
Tuna pokea Matangazo ya StarTV na Radio Free Africa. Wasiliana nasi kwa Email: adammzuza@yahoo.com au mzuzanindi@gmail.com | Simu: 0755 731 234 au 0655 731 234   kwa Mawasiliano zaidi unaweza kutumia NO 0755061588 Judith Lugoye ,shuguli zote za blog hii anaweza kukusaidia MATANGAZO , AU HABARI

Tuesday, October 2, 2012

ATUNUKIWA CHETI CHA UDAKITARI KUTOKA CHUOKIKUU CHA UGANDA

 Pichani ni  Baadhi ya Waalikwa waliokuja kushuhudia Sherehe za kumtunuku Shahada ya Juu yaUdaktari Askofu Simoni Chisote Silwimba zilizofanyika katika Ukumbi wa Open University Songea.
 Mgeni Rasmi Dr Zoa akieleza maudhui ya  Sherehe za kumtunuku Dr Simon Chisote Silwimba Shahada ya Heshima ya Uzamivu ya Theology baada ya kugraduete kiroho (Theology) Chuo Kikuu cha Africa Graduate.
 Askofu Silwimba akiwa na Mke wake Mkurugenzi wa Umoja wa akina Mama Mchungaji Gilda Silwimba katika sherehe za kumpongeza kutunikiwa shahada ya Heshima Dr Simon Chisote Silwimba zilizofanyika katika Ukumbi wa Open University Songea.
 Askofu Simon Chisote Silwimba baada ya kutunukiwa Shahada ya Heshima ya Uzamivu ya Theology katika Ukumbi wa Open University Songea.
Hiki ni Cheti alichotunukiwa Askofu Simon ChisoteSilwimba baada ya kuhitimu Africa Graduate Univercity Uganda .

No comments:

Post a Comment