KILA WAKATI ANGALIA STAR TV NA KUSIKILIZA RADIO FREE AFRICA Matangazo

UKIWA NA TANGAZO TAFADHALI WA SILIANA NA SISI KWA NAMBA 0755731234 AU 0755061588
Tuna pokea Matangazo ya StarTV na Radio Free Africa. Wasiliana nasi kwa Email: adammzuza@yahoo.com au mzuzanindi@gmail.com | Simu: 0755 731 234 au 0655 731 234   kwa Mawasiliano zaidi unaweza kutumia NO 0755061588 Judith Lugoye ,shuguli zote za blog hii anaweza kukusaidia MATANGAZO , AU HABARI

Tuesday, October 9, 2012

WAANDISHI WA HABARI WAPIGA HATUA KIMAENDELEO MKOANI RUVUMA

 Mwandishi wa Habari wa Gazeti la Majira Mkoani Ruvuma  Cencesia Kapinga amepiga hatua kwa kuweza kujenga nyumba ya kisasa ilyo katika Manspaa ya Songea . Cha mhimu ni kumunga mkono kumchangia  aweze kumaliza nyumba yake
Hii ni nyumba ambayo Mwandishi wa Habari  Cerencesia Kpinga ameijenga ina hitaji kumalizia ni vizuri mtu anapo piga hatua ni wajibu wawatu wenye mapenzi mema kumchangia

No comments:

Post a Comment