KILA WAKATI ANGALIA STAR TV NA KUSIKILIZA RADIO FREE AFRICA Matangazo

UKIWA NA TANGAZO TAFADHALI WA SILIANA NA SISI KWA NAMBA 0755731234 AU 0755061588
Tuna pokea Matangazo ya StarTV na Radio Free Africa. Wasiliana nasi kwa Email: adammzuza@yahoo.com au mzuzanindi@gmail.com | Simu: 0755 731 234 au 0655 731 234   kwa Mawasiliano zaidi unaweza kutumia NO 0755061588 Judith Lugoye ,shuguli zote za blog hii anaweza kukusaidia MATANGAZO , AU HABARI

Saturday, October 6, 2012

WALEMAVU WANA HITAJI UPENDO NA USHIRIKISHWAJI WA HALI YA JUU


 Hakimu wa Mahakama ya Wilaya Songea akitoa mada kuhusu haki za Ndoa huku Rehema Nyagawa kushoto akitafisili kwa alama za Vidole
 Katibu wawa lemavu mkoa wa Ruvuma Asha Abdala akisoma Risala kwa Alama ya Vidole
 washiriki walemavu wakifuatilia kwa makini mada zilizo kuwa zikitolewa na wadau mbalimbali huku mkalimani Rehema Nyagawa akitafisiri kwa alama za vidole
 Washiriki ambao ni walemavu wakisikiliza kwa makini hotuba ya Mgeni Rasimi Joseph Joseph Mkirikiti aliye mwakilisha Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma Saidi Thabiti Mwambungu
 Picha ya Pamoja na walemavu mkoa wa Ruvuma walio hudhuria semina ya uwajibikaji wa viongozi  katika kutokomeza unyanyasaji kijinsia
Mkuu wa wilaya ya Songea Joseph Joseph Mkirikiti akiwahiimiza watu mbalimbali kujifunza alama za vidole ili waweze kuwasiliana vizuri na walemavu wasio weza kusikia

No comments:

Post a Comment