KILA WAKATI ANGALIA STAR TV NA KUSIKILIZA RADIO FREE AFRICA Matangazo

UKIWA NA TANGAZO TAFADHALI WA SILIANA NA SISI KWA NAMBA 0755731234 AU 0755061588
Tuna pokea Matangazo ya StarTV na Radio Free Africa. Wasiliana nasi kwa Email: adammzuza@yahoo.com au mzuzanindi@gmail.com | Simu: 0755 731 234 au 0655 731 234   kwa Mawasiliano zaidi unaweza kutumia NO 0755061588 Judith Lugoye ,shuguli zote za blog hii anaweza kukusaidia MATANGAZO , AU HABARI

Wednesday, August 24, 2011

MKURUGENZI WA UPIMAJI WA ARIDHI TANZANIA

Mkurugenzi wa upimaji na Ramani nchini Tanzania wapili kutoka kushoto Dr Selassie Mayunga akiwa na Mkurugenzi wa Mipaka kutoka Msumbiji Josse Elias Mucumbo wakati walipo kuwa wakikagua mipaka katika kijiji cha Nindi kata ya Lipalamba wilayani Mbinga Mkoani Ruvuma



Adamu Nindi – Mipaka –Msumbiji na Tanzania

Mkurugenzi wa Upimaji na Ramani nchini Tanzania Dr Selassie Mayunga na Mkurugenzi wa Mipaka ya Baharina Nchi kavu nchini Msumbiji Jose Elias Mucumbo wame wataka wananchi waMsumbiji na Tanzania kujenga mahusiano mazuri zaidi baada ya mipaka ya Tanzani na Msumbiji kukamilika.

Wakurugenzi hao wameyasema hayo wakati wakikagua kukamilika kwa mipaka iliyopo katika kijiji cha Nindi kata ya Liparamba wilayani Mbinga Mipaka yenye urefu wa Kilometa 51 ambayo ujenzi wake umegharimiwa na Serekari ya Ujerumani kwa kutoa uro 30,000.
Mkurugenzi wa mipaka ya nchikavu na Bahari Jose Eliasi Mucombo kutoka Msumbiji amesema mipaka isiwe chanzo cha kuwa tenganisha mahusiano yaliyopo kati ya Tanzania na Msumbiji bali iwe chanzo cha kuleta maendeleo

Mkurugenzi wa upimaji wa Ramani nchini Tanzania Dr Selassie Mayunga amesema wananchi walioko mpakani mwa Tanzania jukumu lao kubwa nikulinda Mawe yaliyo pandwa yasi ngolewe ,

Mkurugenzi wa upimaji wa Ramani nchini Tanzania Dr Selassie Mayunga amsema Serekari yaTanzani ita hakikisha zoezi la upimaji wa mipaka kwa nchi zinazo pakana na Tanzania hadi mwaka 2012 lina kamilika

Wananchi wa Tanzania wameshukuru Serekari yaTanzania na Msumbiji kwa kuweka mipaka ,Watanzania hao wamesema w Mkurugenzi wa mipaka ya nchikavu na Bahari Jose Eliasi Mucombo kutoka Msumbiji amesema mipaka isiwe chanzo cha kuwa tenganisha mahusiano yaliyopo kati ya Tanzania na Msumbiji bali iwe chanzo cha kuleta maendeleo

Kikao cha kwanza cha kupima mipaka kati ya nchi za Tanzania,Malawi na Msumbiji kilifanyika Belin Ujerumani na vikao kuendelea mwaka 1884,1923, 1925 kuweka mawe mpaka wa Msumbiji na Tanzania .Mwaka 1956 mpaka wa Tanzania na Malawi kuwa katikati ya ziwa Nyasa. Mwezi 8 /2011 kukamilisha kwa mpaka wa Tanzania na Msumbiji.

No comments:

Post a Comment