KILA WAKATI ANGALIA STAR TV NA KUSIKILIZA RADIO FREE AFRICA Matangazo

UKIWA NA TANGAZO TAFADHALI WA SILIANA NA SISI KWA NAMBA 0755731234 AU 0755061588
Tuna pokea Matangazo ya StarTV na Radio Free Africa. Wasiliana nasi kwa Email: adammzuza@yahoo.com au mzuzanindi@gmail.com | Simu: 0755 731 234 au 0655 731 234   kwa Mawasiliano zaidi unaweza kutumia NO 0755061588 Judith Lugoye ,shuguli zote za blog hii anaweza kukusaidia MATANGAZO , AU HABARI

Wednesday, August 24, 2011

MADIWANI WANA WAKE SONGEA WA DAI HAKI ZAO

Madiwani wa mkoa wa Ruvuma wakiwa katika mjadala wa kudai haki zao katika nyanja mbalimbali katika uongozi


ADAMU NINDI -Songea

Madiwani wa viti malumu wa mkoa wa ruvuma wameiomba serekari kurekebisha kanuni na miongozo ambayo ina wanyima haki madiwani wa viti malumu kugombea baadhi ya nyazifa katika halimashauri za wilaya na katika kata,

Madiwani Wanawake wa viti malumu wa Mkoa wa Ruvuma wamesema endapo hali ya kuwa tenga katika vikao vya bajeti au vikao vya kuibua miradi yenye kuleta maendeleo kwa wanchi katika kata .jambo watakalo fanya mara watakapo itwa ili kupitisha bajeti hiyo wata ikataa hadi watakapo shirikishwa.

Madiwani wakiendelea kuchangia hoja wakiongozwa na Prisca Haule wamesema kutengwa kwao kwa kunyimwa kugombea nyazifa mbalimbali katika wilaya zao wamesema ina tokana na miongozo na kanuni kuegemea upande mmoja.

Nao Madiwani kutoka wilaya ya tunduru Tunduru wamesema mara zote wanapochangia michango yao katika vikao vya baraza la madiwani hudharauliwa na kusema wao ni madiwani wa viti malumu .

Katika kukabiliana na ubaguzi wakuwatenga wanawake wa viti malumu mjumbe kutoka songea winfrida komba amesema dawa pekee wanawake ni kujizatiti katika chaguzi mbalimbali ,wanawake waungane ili kuhakisha watakao gombea kuanzi ngazi ya kata hadi jimbo wana shinda

Wawezeshaji kutoka mtandao wa jinsia TGNP kutoka makao makuu jijini Dae –es – salaam Badi Darusi ambaye ni Mchambuzi wa Bajeti, na Nema Duma mjumbe wa Bodi ya TGNP . wamesema msingi mzuri kwa madiwani wote ni kuhakikisha fedha zinazo tolewa na serekari katika kuleta maendeleo kwa wanachi zina fanya kazi iliyo pangiwa .

MWISHO

No comments:

Post a Comment