KILA WAKATI ANGALIA STAR TV NA KUSIKILIZA RADIO FREE AFRICA Matangazo

UKIWA NA TANGAZO TAFADHALI WA SILIANA NA SISI KWA NAMBA 0755731234 AU 0755061588
Tuna pokea Matangazo ya StarTV na Radio Free Africa. Wasiliana nasi kwa Email: adammzuza@yahoo.com au mzuzanindi@gmail.com | Simu: 0755 731 234 au 0655 731 234   kwa Mawasiliano zaidi unaweza kutumia NO 0755061588 Judith Lugoye ,shuguli zote za blog hii anaweza kukusaidia MATANGAZO , AU HABARI

Sunday, August 28, 2011

NAMNA GANI YA KUINGIA KATIKA MCHAKATO WAKUPATA KATIBA MPYA YA JAMUHURI YA MUNGAONO YA TANZANIA
Na Adamu Nindi - Songea

Ndugu zangu wanahabari hivi sasa tumeingia katika kutafuta ukombozi kwa mwanadamu anaye ishi katika Nchi Teule ya Tanzania,Jambo la kwanza tunaingia katika mchakato wa katiba mpya jee katiba ya zamani ina mapungufu gani ,Jee ina ubora gani kwa Watanzania, nini kifanyike ili Tanzania ya Mwaka 1964 isiwe ya mwaka 2011,

Maswali hayo yote yana weza kujibiwa na wana habari .kwa mda mrefu tume kuwa tukipiga kelele jinsi ya kumfanya Mtanzania aishi kuendana na kauli ya Rais wa Jamuhuri ya Mungano Tanzani Dr Jakaya Mrisho Kikwete ya kusema Maisha Bora kwa kila Mtanzania. Jee kauli hii ina managani kiundani ? kitu cha msingi ni kuona mtanzania ata ingiaje katika maisha hayo bora, Jee katiba iliyopo ita weza kumfanya awe na maisha bora, la msingi wana habari tuna kila zana ya kumfanya Mtanzania awe na maisha bora kwa kufuata Taratibu,Kanuni, na sheria za nchi,

Napenda kuwa julisha kuwa mimi kama mwana harakati kwa maswali niliyo yatoa hapo juu nita yavalia njuga ili kila mtanzani ajue jinsi ya kuingia kwenye mchakato wa katiba wale ambao wata taka twende sambamba na BLOG inayo julikana YALIYO JIRI MKOANI RUVUMA . Ukitaka kuingia basi andika hivi http://www.songeahabari.blogspot.com/ ukimaliza hilo tupo pamoja naahidi sita waangusha wa Tanzania.

Mwisho nimalizie kwa kusema Tanzania ni nchi yenye Baraka zote za Mungu ni juu ya Watanzania kulinda baraka hizi kwa kushiriki kikamilifu katika mchakato wa kupata katiba mpya

Wenu Adamu Mzuza Nindi - Songea

No comments:

Post a Comment