KILA WAKATI ANGALIA STAR TV NA KUSIKILIZA RADIO FREE AFRICA Matangazo

UKIWA NA TANGAZO TAFADHALI WA SILIANA NA SISI KWA NAMBA 0755731234 AU 0755061588
Tuna pokea Matangazo ya StarTV na Radio Free Africa. Wasiliana nasi kwa Email: adammzuza@yahoo.com au mzuzanindi@gmail.com | Simu: 0755 731 234 au 0655 731 234   kwa Mawasiliano zaidi unaweza kutumia NO 0755061588 Judith Lugoye ,shuguli zote za blog hii anaweza kukusaidia MATANGAZO , AU HABARI

Wednesday, August 24, 2011

MENEJA WA TANESCO MKOA WA RUVUMA MONICA BENJAMIN KIBARA

Meneja wa Tenesco Mkoa wa Ruvuma Kushoto Monica Benjamin Kibura akibadilisha mawazo na meneja wa benk NMB Tawi la Songea katika uwanja wa ndege wa Luwiko Manispaa ya Songea


ADAM MZUZA NINDI – UMEME – SONGEA

Bidhaa zenye thamani ya shilingi milioni mbili zime haribika mkoani ruvuma baada ya ukosefu wa umeme wa mda mrefu.

Wafanyabiashara mkoani ruvuma wameileza radio free afrika kuwa kutokana na kukosa matangazo ya kukosekana kwa umeme wamekuwa wakiendelea kuagiza bidhaa kama samaki wabichi kutoka mtera,dar-es-salaam na mwanza,

Samaki hao wakiwa wabichi wameshindwa kusitahimili kutokana na majokofu kuto fanya kazi hadi wanaoza umeme huwashwa saa saba usiku na kuzimwa 11 alfajiri uta saidia nini walihoji

wamesema kwa kipindi cha wiki moja sasa wamesha tupa samaki waliooza wenye samani ya shilingi mioni 2,aidha lutengano lutengano amesema wamekuwa na kawaida ya kununua nyama zaidi ya kilo kumi ili watumie kwa mwezi kutokana na ukosfu wa umeme tayari kilo saba zime haribika.

Wakitoa masikitiko yao wamesema shirika la tenesco linapo dai bili za umeme hutangaza kuwa wasio lipa siku Fulani umeme una katwa jee hawawezi kutangaza hali ya kukosa umeme mji wa songea ili watu wasitegemee majokofu.

Nao madakitari ambao hawa kutaka majina yao ya tajwe wamesema kunaweza kuzuka ugonjwa wa njia za hewa kutokana na kuvuta hewa chafu ya cobondox ,au caboni ya mkaa kutokana na uwashaji genereta kiholela mji wa songea una jenereta zaidi ya 40 zinazo washwa wakati mmoja.

Alipo ulizwa meneja wa tenesco Monica Benjamin Kibara kuhusu hali ya kukosa umeme manispaa ya songea amesema haijulikani hadi yatakapo patikana mafuta. Aliye chukua tenda ya kuleta mafuta naye ameathirika na mgomo wa bei ya mafuta .

No comments:

Post a Comment