KILA WAKATI ANGALIA STAR TV NA KUSIKILIZA RADIO FREE AFRICA Matangazo

UKIWA NA TANGAZO TAFADHALI WA SILIANA NA SISI KWA NAMBA 0755731234 AU 0755061588
Tuna pokea Matangazo ya StarTV na Radio Free Africa. Wasiliana nasi kwa Email: adammzuza@yahoo.com au mzuzanindi@gmail.com | Simu: 0755 731 234 au 0655 731 234   kwa Mawasiliano zaidi unaweza kutumia NO 0755061588 Judith Lugoye ,shuguli zote za blog hii anaweza kukusaidia MATANGAZO , AU HABARI

Friday, August 26, 2011

RAIS DR JAKAYA MRISHO KIKWETE ATEMBELEA RUVUMA

Mjasilia mali ambaye ni Mfanya biashara Mashuhuri Mkoani Ruvuma Stanle Matembo yupo tayari kushirikiana na mfanya biashara yoyote Tanzania ,Ikiwa mazao,mbao,pamoja na bidhaa zipatikanazo mkoa wa Ruvuma kwa mawasiliano zaidi tumia mtandao huu



Rais wa Jamuhuri ya Mungano wa Tanzania Dr Jakaya Mrisho Kikwete alipo tembelea Mkoa wa Ruvuma hapo yupo uwanja wa ndege Luhuwiko Manspaa ya Songea akipokewa na Madiwani kulia kwake ni Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma Dr Cristine Ishengoma



Mlemavu Chares Mhagama ambaye alipata ulemavu jijini Dar -es -salaam mwaka 2006 mpaka leo haja pata matibabu ya kumwezesha kupata nafuu ana hitaji msaada kwa watu ambao wana weza kumsaidia yupo songea lakini hana mbele wala nyuma yoyote mwenye msaada atumie E-mail ifuatayo adam_nindi@yahoo.com




Mtoto wa Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma Dr Cristina Ishengoma akiwa na mjukuu wa mkuu wa mkoa ambaye anaonyesha furaha akiwa ikilu ndogo mkoani Ruvuma




Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma Dr Crisitine Ishengoma Mkuu wa mkoa pekee ambaye historia yake haiwezi kuvunjwa kwa jinsi alivyo simamia maendeleo katika mkoa wa Ruvuma hasa katika kilimo amewezesha Mkoa wa Ruvuma kuweza kuzalisha Mahindi kwa wigi,zao la Tumbaku. pamoja na mazao mengine

No comments:

Post a Comment