KILA WAKATI ANGALIA STAR TV NA KUSIKILIZA RADIO FREE AFRICA Matangazo

UKIWA NA TANGAZO TAFADHALI WA SILIANA NA SISI KWA NAMBA 0755731234 AU 0755061588
Tuna pokea Matangazo ya StarTV na Radio Free Africa. Wasiliana nasi kwa Email: adammzuza@yahoo.com au mzuzanindi@gmail.com | Simu: 0755 731 234 au 0655 731 234   kwa Mawasiliano zaidi unaweza kutumia NO 0755061588 Judith Lugoye ,shuguli zote za blog hii anaweza kukusaidia MATANGAZO , AU HABARI

Sunday, August 28, 2011

MEYA WA LICHA NCHINI MSUMBIJI AKIWA SONGEA

katika kuboresha ujirani mwema kati ya Msumbiji na Tanzani Meya wa Jiji la Lichinga nchini Msumbiji Agugost Luis alitembelea Mkoa wa Ruvuma na kuingia mkataba wa Maendeo na Mkoa wa Ruvuma



Uti wa Mgongo wa uchumi katika Tanzania ni Kiliomo hapo ulionalo ni shamba la Chai liliopo katika eneo la Kibena Wilayani Njombe Mkoa wa Njombe,




Diwani wa kata ya Matogoro Chares Mhagama akiwa miongoni mwa madiwani wanao wania nafasi ya Umeya katika Manispaa ya Songea ,Akiongea na Glob ya Yaliyo jiri Mkoa wa Ruvuma amesma nia yake ni kuwaendeleza wana Ruvuma katika Kilimo na Elimu

No comments:

Post a Comment