KILA WAKATI ANGALIA STAR TV NA KUSIKILIZA RADIO FREE AFRICA Matangazo

UKIWA NA TANGAZO TAFADHALI WA SILIANA NA SISI KWA NAMBA 0755731234 AU 0755061588
Tuna pokea Matangazo ya StarTV na Radio Free Africa. Wasiliana nasi kwa Email: adammzuza@yahoo.com au mzuzanindi@gmail.com | Simu: 0755 731 234 au 0655 731 234   kwa Mawasiliano zaidi unaweza kutumia NO 0755061588 Judith Lugoye ,shuguli zote za blog hii anaweza kukusaidia MATANGAZO , AU HABARI

Wednesday, August 24, 2011

Walimu wa kufunzi wa chuo cha Walimu Matogoro manspaa ya Songea Mkoani Ruvuma wakiwa katika mgomo kuidai Serekari kiasi cha shilingi Miloni 56 ndipo warudi kazini


Adamu nindi –songea walimu

Walimu wakufunzi wa chuo cha walimu Matogoro katika Manspaa ya Songea mkoani Ruvuma wameazna mgomo wa wiki mbili kwa madai ya kuitaka serekakari ilipe madai ya shilingi milioni 56.3,47,000

Walimu hao wa chuo cha walimu wakiongozwa na Simoni Sainyeye na mwalimu Festo Siame wamesema hayo katika ukumbi wa chuo ccha walimu cha songea matogoro wakati wa kikao kati ya viozi wa chama cha walimu wilaya ya songea na walimu wa kufunzi wa chuo cha matogoro.

Walimu hao wakiwakilisha madai yao wame sema wana dai fedha za likizo, Makato ya nyumba za walimu ambazo wana katwa bila kuishi , pia kuto pandishwa vyeo kwa muda mrefu hivyo wamesema hawata ingia darasani kufundisha mpaka madai yao ya shilingi 56,347,000 zimelipwa.

Wanafunzi walimu wa Chuo cha Matogoro wamesema Serekari inatakiwa kutekeleza madai ya Walimu wakufunzi kwa kuwalipa madai ya fedha wanazo dai vinginevyo mgomo wao hauathiri Walimu wana funzi wa chuo Matogoro . Bali hali ya Elimu ita poromoka kwa kasi kubwa, hii ni sawa na Kulima Shamba bila kutia Mbolea vinginevyo huwezi kupata Mazao

.Mwenyekiti osimundi kapinga ameahidi kufuatilia madai ya walimu kwa muda usio pungua wiki mbili,mbali na hilo walimu wametoa angalizo endapo hawata lipwa malipo yayo basi watajitoa kwenye chama hicho kwa kuwa hakina maana kwao.

Mwenyekiti wa chama cha walimu wilaya ya songea Osimundi Kapinga ambaye na uongozi wake wajumbe wapatao wanne hawata sahau kilicho wa kuta walipo fanya ziara katika chuo cha walimu. Wali kufungiwa katika ofisini za walimu kwa masaa 7 wakidaiwa wawasiliane na katibu mkuu wa Elimu taifa juu ya madai yao ndipo wata funguliwa baada ya kupata jibu sahihi

No comments:

Post a Comment