KILA WAKATI ANGALIA STAR TV NA KUSIKILIZA RADIO FREE AFRICA Matangazo

UKIWA NA TANGAZO TAFADHALI WA SILIANA NA SISI KWA NAMBA 0755731234 AU 0755061588
Tuna pokea Matangazo ya StarTV na Radio Free Africa. Wasiliana nasi kwa Email: adammzuza@yahoo.com au mzuzanindi@gmail.com | Simu: 0755 731 234 au 0655 731 234   kwa Mawasiliano zaidi unaweza kutumia NO 0755061588 Judith Lugoye ,shuguli zote za blog hii anaweza kukusaidia MATANGAZO , AU HABARI

Saturday, August 27, 2011

Mbunge wa Jimbo la Songea ambaye pia ni waziri wahabari utamaduni na michezo Dr Emanuel John Nchimbi akiongoza maombelezo ya aliye kuwa meya wa mnspaa ya Songea Ally Said Manya kabla ya kumpeleka katika safari ya mwisho.
Waziri Dr Emanuel John Nchimbi amesma fahari ya mtu anapo fariki dunia ni watu kushuhudia mema aliyo wa tendea watu, Alisisitiza Aly Manya alikuwa mtu wawatu alipenda maendeleo, kwa vigezo hivyo sasa tumpigie makofi

No comments:

Post a Comment